Toffy_boy
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 280
- 308
Labda anataka asikie sauti(Mmoo)UKIONA MAPENZI NI MAGUMU ACHANA NAYO FANYA VITU VINGINE
KAMA UNAWEZA KUPATA MAZIWA, NYAMA,SUPU NA MBOLEA.. KUNA HAJA GANI YA KUFUGA NG'OMBE? 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda anataka asikie sauti(Mmoo)UKIONA MAPENZI NI MAGUMU ACHANA NAYO FANYA VITU VINGINE
KAMA UNAWEZA KUPATA MAZIWA, NYAMA,SUPU NA MBOLEA.. KUNA HAJA GANI YA KUFUGA NG'OMBE? 😎
Pole sana mzee baba hao ndio wachumba uliwasumbua sana nawewe imefikia time wamekuotea😅😅😅Yote kheri mkuu..🤣
Sema kimeu..manaaa!😅Mimi leo siku ya Tatu sijajibiwa meseji Kisa tu hela sina .Najua hapo sina changu nimeachwa.
Balaa zitooo!!!Nakutana na chamoto Sasa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda anataka asikie sauti(Mmoo)
Sema kama huyo mtu ni wewe, usiogope.[emoji1787][emoji1787] Sijaumizwa ila kuna mtu huyo kakutana na chamoto mpk huruma..
Inawezekana meseji yako haijafika mzee😂😂Mimi leo siku ya Tatu sijajibiwa meseji Kisa tu hela sina .Najua hapo sina changu nimeachwa.
Mtumie msg muulize kama ameshakuacha au bado mna mahusiano[emoji23]Mimi leo siku ya Tatu sijajibiwa meseji Kisa tu hela sina .Najua hapo sina changu nimeachwa.
Pole KENZY[emoji23][emoji23].Niacheni jamani..[emoji1787]
Tena unatumia ile AYU unalikwaruza huku unamchek yule dada..hahahNdo maana Mungu alitupatia binti mkono huyo kamwe hatokuja kukuumiza labda wewe ndo umuumize.
Chaputa oyeeee...chaputa safiiiiiiiiiiiiiiiiii...
Asanteni sana kunickiliza
love is not by choice but by chance!!Pole sana mzee baba hao ndio wachumba uliwasumbua sana nawewe imefikia time wamekuotea😅😅😅
acha kabisa mamiluu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe na nyie hua mnaumiaa??
Siku tatu nzima. Kuna mwezangu anachati nae vizur ty sema kizazi natafuta pesa.Inawezekana meseji yako haijafika mzee[emoji23][emoji23]
Oooh pole sana jamaniiacha kabisa mamiluu,
just imagine sasa hivi nilikuwa sehemu ambapo demu wangu niko nae alikuwa anafanya kazi!!
huwa nikija hapa wananiuliza hivi fulani si ilikuwa kitu yako..
mimi nacheka tuu nawaambia HAPANA ni just friend tuu na nimezoeana nae!
sasa leo kuna kuna sista duu akaniuliza tena nikaataa!
si ndo ameanza kumwaga mastori ya huyo manzi na watu waliommega siku akiwa mitaa hii..
kiukweli imeniuma wala sikatai...