Wanaume tunazingua sana

Wanaume tunazingua sana

J C

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2013
Posts
3,061
Reaction score
2,541
Habari za muda wadau.

Kuna kitu nime note. Kama mwanaume usipopenda ndugu zako na kuwathamini pindi uwapo ndoani usidhani mkeo atawathamini. Ukiwatupa naye atawatupa akiwauwa kiheahiniwa tai shingoni huku yeye akiwathamini ndugu zake.

Unaweza mtembelea kaka Yako usithaminiwe Wala kiheshimiwa hata na watoto wake ila wa mkeo wakija wakathaminiwa na wewe mwanamume ukalazimika hata kuwagharimia chochote wakitakacho.

Hii yote chanzo chake ni kwa sisi wanaume kutowathamini ndugu zetu au hata wadogo zetu. Nimeona ni Bora kuwa na sister kuliko brother. Brother anakutupa mapema sana Tena mbele ya shemejio na watoto wake. Nimejifunza kuanzia Sasa kile nafanyia ndugu za mke wangu nitahakikisha nafanyia ndugu zangu ili niwe WA tofauti.
 
IMG-20240805-WA0748.jpg
 
Hongera kwa kutambua hilo,fanyia kazi.
Asante ndugu nitajitahidi pia kuwafundisha watoto wangu kujua ndugu zangu. Unakuta watoto wako Wana ukaribu na ndugu za mkeo ila wako hawawajui. Alafu mwanaume unapowapotezea ndugu zako mkeo anakucheki anakudharau Tena anaweza akakukataa na wewe maana huna akili. Na akimpenda nduguyo jua anamdinya mkeo sio Bure.
 
Ukiliruhusu hili linakuwa hivyo. Dawa ni kumkomalia asipisikia ndugu zake wakija nawapotezea pia. Mbay iwe mbayi.
Sauti ya kiume yenye mamlaka ukiivaa atapunguza lkn hataacha narudia ni wabinafsi sana

Labda akupende kupindukia
 
Sauti ya kiume yenye mamlaka ukiivaa atapunguza lkn hataacha narudia ni wabinafsi sana

Labda akupende kupindukia
Dawa ya moto ni moto tu. Ni wabinafsi sana nalijua hili pia na limenifungua sana macho. Usimuonee huruma mwanamke. Tena akilia michozi sepa. Huwa wanalia jicho Moja lingine linakuangalia utafanya Nini ukimbembeleza anakuona fala kabisa na atakuadhibu vikali kwa KOSA hili la kumbembeleza. Mwanamke ukimsamehe anakuadhibu vikali kwa KOSA la kumsamehe.
 
Back
Top Bottom