Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaika hawana jinsia kama sisi .Mbona malaika wanaishi bila wanawake na wameweza sembuse sisi binadamu
Kila kitu kinawezekana hata adamu aliishi bustani Edeni kwa miaka mingi kabla ya kuletewa mwanamke
""Kila kitu kinawezekana chini ya jua""
Malaika hawana jinsi Kama sisi wakati hata majina yao wanasadifu jinsia ya kiume?Malaika hawana jinsia kama sisi .
Kumbe niniHii nayo ni thread
Acha uvivu wa kufikiriMada ya hovyo sana ...hatuwezi kwenda against nature .
Acha ujinga ....Acha uvivu wa kufikiri
Yanawezekana sana mbona wengine sisi hatuna hao wanawake lakini tuna savaivuNimejaribu kutafakari. 99% ya furaha ya mwanaume ni uwepo wa mwanamke Je maisha bila mwanamke yangewezekana? Ni wazo tuu.