Wanaume tuongee na Madaktari

Wewe ni daktari? Kwenye huu uzi nimeona mtu mmoja anasema kua kuna baadhi ya wanawake wanakataa kushonwa wao wenyew, ina ukweli hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamtegeshea shoti ya umeme kwa wapi...?😂😂😂😂😂
 
Wewe ni daktari? Kwenye huu uzi nimeona mtu mmoja anasema kua kuna baadhi ya wanawake wanakataa kushonwa wao wenyew, ina ukweli hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ambao wanakataa katakata kushonwa kwa imani zao..... Kama ni mchaniko mdogo mnamuacha, kama ni mkubwa mnamsainisha form ya kukataa kushonwa..

BTW kama mwanamke ana maumbile makubwa basi yatabaki kuwa makubwa tuu, hata kama utapunguza ukubwa wa shimo huku nje ila ndani itabaki na ukubwa wake.

Na kama mwanamke ana maumbile madogo basi uatabaki kuwa madogo kwa ndani hata kama nje utaongeza njia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante kwa maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kukwepa bwawa
na/au nnya
demu akizaa kawaida, bwawa lake halikauki katu-katu
kipindi n@t0mb@, nikidadisi na kugundua mliwaji kazaa, anakula block
Pole saana mkuu..unahitaji matibabu nadhani maana hii mindset yako ishavuka kwenye abnomality...ni severe... chronic au critical na seriously unahitaji kusaidiwa haraka iwezekanavyo.. kwenu umezaliwa mtoto wa ngapi??
 
Tatizo mwanamke kajifungua ndani ya miezi 3 mnaanza kupiga game!!!


Waacheni wapumzike hata miezi 9 ili sehemu zake ziimarike kama zamani

Tamaa zitawaponza mnawabaka wamama wachanga wanaonyonyesha halafu mnakuja hapa kulalamika

Well said🙏🙏🙏tunayopitiaaa ni makubwaaaa mnoo sitaki kukumbukaa kbsaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…