Wanaume tuongee na Madaktari

Wanaume tuongee na Madaktari

Tatizo mwanamke kajifungua ndani ya miezi 3 mnaanza kupiga game!!!


Waacheni wapumzike hata miezi 9 ili sehemu zake ziimarike kama zamani

Tamaa zitawaponza mnawabaka wamama wachanga wanaonyonyesha halafu mnakuja hapa kulalamika
Na wewe Ni mwanaume????? Dah Taifa limepata hasara hili....

Mwanaume mzima unamwambia akae miezi 9 kisa kulea ,,,nenda kwa daktri ukapate ushauri
 
1.Hakuna mzazi anayeongezewa njia akaachwa kushonwa
2. Halafu mzee mtoto wa ukubwa kama chupa ya chai anapita lile eneo unategemea nini?
Last but not least huwa inarudi ila won't be the same anymore.
 
Mtalalamika mpk kesho... Ila hiyo yote ni kuzalia Hospitali za cheap. Ivi kwel kujifungua aga khan mpka milion 6 tena kawaida hiyo. Matokeo yake utalinganisha na kituo cha afya Bondeni ama yombo. Au buza?
 
ulikua unapiga vibaya
napiga mara 4 mpaka mara 5 kwa siku na kila siku namwaga
siumii viungo, in fact naokoa fedha nyingi , kusikia habari za Gono ni kwenye bomba

IQ wala haihusiani, maana kumwaga ni kule kule tofauti ni aina ya utelezi
kule utelezi wenye STDs, huku utelezi usio na STDs
Mara 5? Kwa siku 1? Bora utafute hata mashoga wapo wanao liwa fo fun. Khaaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna moja nilikutana nae aisee mimi nina mashine nchi 6 kasoro lakini niliogelea kutoka hapo sijamtafuta tenaa
Sasa nchi 5 unusu nawee useme Una mkunyengee? Hata shoga asiye mzoefu bado atakuona huna lolote

Kuanzia nch 8 ndo kitu ikizama inasukuma had kongosho kwa juu. Khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu yale usitukane wakunga. Kuna fibroid pia naona kama inakua kwa kasi sasa sijui nao watakimbiwa kwa kovu linatisha
Ukipata dr mzuri hata kovu halionekani with time. Nimefanyiwa mara moja na kovu wala halionekani na ni chini kabisa karibu na ....
 
Back
Top Bottom