Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kymsemea ameamua kunyamaza,ila nadhani akifungua mdomo Christina atatafuya pa kujificha,Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu,yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya,kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndiio maana tunakufa mapema,Tina angeolewa na mswahili kamamwijaku au manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu,angeanikwa hadi siri zake za chumbani
Kushindana na mwanamke ni umama

Acha umama

Acheni kicheche kipige kelele kitatulia
 
Hahahah we mandazi kabisa umenichekesha sana kwamba hajaanikiwa siri zake za chumbani mfano k kunuka kama samaki?? Yaani umdhalilishe mwimbaji Tena wa injili.. Acha yeye afanye hivo tumeshagundua ni mandazi ila nyimbo zake tuko nazo ni nzuri tutaendelea kusikiliza
 
Hakuna msanii wa injili hujiona anajua kuimba kama Shusho kumbe ni Utoporo tu
 
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kymsemea ameamua kunyamaza,ila nadhani akifungua mdomo Christina atatafuya pa kujificha.

Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu,yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya,kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndiio maana tunakufa mapema,Tina angeolewa na mswahili kamamwijaku au manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu,angeanikwa hadi siri zake za chumbani
Akijibu ataonekana anajitetea, akiendelea kunyamaza Tina atachoka tu. Mzee aendelee kunyamaza.
 
Back
Top Bottom