Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huwa tuna-left kwa upole. Makeke tunaachia ngedere. Hilo analo. Ameishi na waswahiliswahili hadi anadhani hapaswi kuwa na siri wala privacy. Si kweli! Kuna mengine kufa nayo tu. Kwani shing ngapi kwa bei ya Kitanzania kufa nayo?Mijeredi yake punda tu, binadamu ukichoka ni kuleft kama Tina a.k.a ze mchungaji