Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Kwani kasemaje Tina?si niliwaona wote na daddy kwenye mtoko wa pasaka?

Anyways,tatizo la Tina anajiita mlokole kumbe ni shangingi na dada wa mjini aliyeshindikina,ukitaka kujua tabia ya Mtu angalia watu anaomingle nao,Sasa Mtu rafiki zake bongo movie kuna jambo hapo?
 
Eti mrembo kwani shusho kaongea kitu gani?
Mi nlichokisoma hapa alihohiwa akasema " nimeamua kuachana na mme wangu ili nitumize ndoto tangu" kwahiyo alivoachana amefungua kanisa lake.....ila pia hapendi kuitwa mchungaji anapenda kuitwa tu muimbaji. Hiki ndicho nimesoma hapa jf sijajua kama kuna mapya kaongea.
 
Kwani kasemaje Tina?si niliwaona wote na daddy kwenye mtoko wa pasaka?

Anyways,tatizo la Tina anajiita mlokole kumbe ni shangingi na dada wa mjini aliyeshindikina,ukitaka kujua tabia ya Mtu angalia watu anaomingle nao,Sasa Mtu rafiki zake bongo movie kuna jambo hapo?
Sisi walokole huwa tunaanguka kiroho jamani kama ambavyo nanyie watu wa kawaida hutenda dhambi, ndio Maana Mungu wetu mwenye huruma anatupa nafasi ya kutubu. 😹
 
Kuna ka kujifunza hapa. Haya ndiyo madhara ya wazee kuoa mabinti wadogo ambao wakishindwa kuwapelekea moto ipasavyo, huwakimbia na kuwafuata vijana wenzao wanaoweza kuwadinya sawasawa.

Tina amechungulia mechi akaona kuwa akiendelea kukaa na yule mzee hawezi kupata haki yake ya ndoa kikamilifu ndipo akaamua kukimbilia kwa Diamond. Hata kama ungekuwa wewe ungefabtaje mkuu? Mtu anapiga bao moja tu halafu anaanza kukoroma hadi asubuhi na wewe bado unahidaji kudunywa. Si inabidi ukimbie?

Mm namuunga mkono Tina lakini namshauri avunje ndoa na ikibidi abadili dini ili Mondi amuoe kihakali kuliko anavyomtesa mzee wa watu anamuacha njia panda. Avunje ndoa tu ili mzee wa watu naye antafute mzee mwenzake amuoe, naye aendelee na Mondi wake, isiwe shida.

Na kwa jinsi Mondi anavyopenda mbunye sidhani kama atakubali kumuachia kirahisi. Avunje ndoa na mzee Shusho na abadili dini aolewe na Mondi.
Hahahahaha Mondi amuoe huyo Tina ? Ila inawezekana..
Midemu km hiyo ndiyo ya kuila Tigo tu mwanzo Mwisho
 
Kwani kasemaje Tina?si niliwaona wote na daddy kwenye mtoko wa pasaka?

Anyways,tatizo la Tina anajiita mlokole kumbe ni shangingi na dada wa mjini aliyeshindikina,ukitaka kujua tabia ya Mtu angalia watu anaomingle nao,Sasa Mtu rafiki zake bongo movie kuna jambo hapo?
Mlokole ndio anaongea hayoo? Ndio maana ktk wanawake naonaga miyeyusho ni walokole
 
Too much is a silently killing poison coz anything under this world is wisely to be done by average scale, but why in the past twenty years of her marriage she didn't announce any internal marriage issues such as she was undergoing gender victimization from her husband in these social media platforms till they became separated at this current moment?

How long is this gonna be driven by that woman to the civilized person (her fomer husband) whom is still tolerating personal interior conflicts by being calm down while his crucial former family perspectives are continually exposed which couldn't even being expected that it will be announced at one day in the social media due to their marriage agreements in the all time they were together and after separating their close family relationship?

The human rights companies to complain and defend are still not yet to take any action plans or are only made to be executed by women sides but not men?

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Mada iko kwa Kiswahili, wewe unaandika kwa Kiingereza.
Ndiyo maana hata wewe unaona hilo wazo la mzee kutetewa lina maana.

Mwanamke mpuuzi anapuuzwa na upuuzi wake.
Mwanaume wake anapaswa kujikita kwenye mambo mengine ya msingi, siyo naye kuja kulumbana mitandaoni au kutaka kujitetea au kujisafisha. Ni kupoteza wakati pia kuingia kwenye mfumo wa 'kike'.
Uanaume ni kukaza na kukaa kimya wakati wa dhoruba. 📌
 
Kuna ka kujifunza hapa. Haya ndiyo madhara ya wazee kuoa mabinti wadogo ambao wakishindwa kuwapelekea moto ipasavyo, huwakimbia na kuwafuata vijana wenzao wanaoweza kuwadinya sawasawa.

Tina amechungulia mechi akaona kuwa akiendelea kukaa na yule mzee hawezi kupata haki yake ya ndoa kikamilifu ndipo akaamua kukimbilia kwa Diamond. Hata kama ungekuwa wewe ungefabtaje mkuu? Mtu anapiga bao moja tu halafu anaanza kukoroma hadi asubuhi na wewe bado unahidaji kudunywa. Si inabidi ukimbie?

Mm namuunga mkono Tina lakini namshauri avunje ndoa na ikibidi abadili dini ili Mondi amuoe kihakali kuliko anavyomtesa mzee wa watu anamuacha njia panda. Avunje ndoa tu ili mzee wa watu naye antafute mzee mwenzake amuoe, naye aendelee na Mondi wake, isiwe shida.

Na kwa jinsi Mondi anavyopenda mbunye sidhani kama atakubali kumuachia kirahisi. Avunje ndoa na mzee Shusho na abadili dini aolewe na Mondi.
Kwa hiyo imethibitishwa kuwa Tina ni mali ya Dangote? 😁
 
Mi nlichokisoma hapa alihohiwa akasema " nimeamua kuachana na mme wangu ili nitumize ndoto tangu" kwahiyo alivoachana amefungua kanisa lake.....ila pia hapendi kuitwa mchungaji anapenda kuitwa tu muimbaji. Hiki ndicho nimesoma hapa jf sijajua kama kuna mapya kaongea.
Kama ni hivyo hapo kamdhalilishaje mumewe?
 
Mada iko kwa Kiswahili, wewe unaandika kwa Kiingereza.
Ndiyo maana hata wewe unaona hilo wazo la mzee kutetewa lina maana.

Mwanamke mpuuzi anapuuzwa na upuuzi wake.
Mwanaume wake anapaswa kujikita kwenye mambo mengine ya msingi, siyo naye kuja kulumbana mitandaoni au kutaka kujitetea au kujisafisha. Ni kupoteza wakati pia kuingia kwenye mfumo wa 'kike'.
Uanaume ni kukaza na kukaa kimya wakati wa dhoruba. 📌
kwani shusho kasemaje mbona hamtuambii
 
Back
Top Bottom