Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Bado mmeshindwa kuishi Rome.Mtaoata tabu na kuchakaa sana.
Nyie mmeweza??? 😂😂
Tulieni vipaji vya kina Tina vizidi kuibuka, muda ni mchache sana bro muda hautoshi kutia tia huruma.

Msitupande vichwani bana tumewabeba tumboni miezi 9, tumewanyonyesha na tunawanyonyesha tena, mtulie
 
Huyu mzee mwenzetu ni mcha Mungu anaona si vema kujibu mapigo, ameamua kukaa kimya. Sasa mawe yatapiga kelele kumtetea dhidi ya udhalilishaji toka kwa mke wake. Huyo mama bora naye akae kimya, atatonekana ni ni mcharuko na atazidi kujiharibia brand yake kwa watakatifu walioko duniani
 
Kuna kipi cha kuua hapo?
Mpuuze mwanamke mpuuzi huku ukisonga na maisha yako.
UTADUMU!
Too much is a silently killing poison coz anything under this world is wisely to be done by average scale, but why in the past twenty years of her marriage she didn't announce any internal marriage issues such as she was undergoing gender victimization from her husband in these social media platforms till they became separated at this current moment?

How long is this gonna be driven by that woman to the civilized person (her fomer husband) whom is still tolerating personal interior conflicts by being calm down while his crucial former family perspectives are continually exposed which couldn't even being expected that it will be announced at one day in the social media due to their marriage agreements in the all time they were together and after separating their close family relationship?

The human rights companies to complain and defend are still not yet to take any action plans or are only made to be executed by women sides but not men?

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.

Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Achana na maisha ya watu?
 
@mdukuzi ,kweli bwana,we die premature because of these kinds of women,kwasasa. Mzee SHUSHO anaonekana kichekesho ila angekua amefanyiwa Tina basi dunia yote ikiwemo wanaume wangeandamana kumtetea Tina,dunia ya sasa nikandamizi kwa mwanaume tena haina huruma namwanaume chakushangaza ,hadi wanaume tunajipendekeza nakushangilia alichokifanya Tina badala ya kupigwa vita hadi ajutie,media zinajaribu kutetea uzinifu wake,namakosa yakena nakuhalalisha alichokifanya as if nitabia njema Ktk jamii.eti tu kisa nimwanamke mwenye matako daahh????!!!!
Kwani mkuu huyo shusho kafanya udhalilishaji gani? Mbona mnatuacha njia panda kwa sisi ambao hatujui kinachoendelea mitandaoni
 
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.

Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Kuna ka kujifunza hapa. Haya ndiyo madhara ya wazee kuoa mabinti wadogo ambao wakishindwa kuwapelekea moto ipasavyo, huwakimbia na kuwafuata vijana wenzao wanaoweza kuwadinya sawasawa.

Tina amechungulia mechi akaona kuwa akiendelea kukaa na yule mzee hawezi kupata haki yake ya ndoa kikamilifu ndipo akaamua kukimbilia kwa Diamond. Hata kama ungekuwa wewe ungefabtaje mkuu? Mtu anapiga bao moja tu halafu anaanza kukoroma hadi asubuhi na wewe bado unahidaji kudunywa. Si inabidi ukimbie?

Mm namuunga mkono Tina lakini namshauri avunje ndoa na ikibidi abadili dini ili Mondi amuoe kihakali kuliko anavyomtesa mzee wa watu anamuacha njia panda. Avunje ndoa tu ili mzee wa watu naye antafute mzee mwenzake amuoe, naye aendelee na Mondi wake, isiwe shida.

Na kwa jinsi Mondi anavyopenda mbunye sidhani kama atakubali kumuachia kirahisi. Avunje ndoa na mzee Shusho na abadili dini aolewe na Mondi.
 
Back
Top Bottom