Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Kushindana na mwanamke ni umama

Acha umama

Acheni kicheche kipige kelele kitatulia
 
Hahahah we mandazi kabisa umenichekesha sana kwamba hajaanikiwa siri zake za chumbani mfano k kunuka kama samaki?? Yaani umdhalilishe mwimbaji Tena wa injili.. Acha yeye afanye hivo tumeshagundua ni mandazi ila nyimbo zake tuko nazo ni nzuri tutaendelea kusikiliza
 
Nadhani mzee Shusho angejitokeza kukanusha madai ya mkewe! Lakini najua kwa busara yake hawezi kukubali kulumbana na mkewe kwenye media! Itakuwa kumpa kichwa Shetani!
 
Hakuna msanii wa injili hujiona anajua kuimba kama Shusho kumbe ni Utoporo tu
 
Akijibu ataonekana anajitetea, akiendelea kunyamaza Tina atachoka tu. Mzee aendelee kunyamaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…