Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Eeh bwana, ufanye kazi kwa ajili yako na yake, then akishakaa vizuri kiuchumi anakubwaga, au ukihaso yeye anakichapisha kwa wana mtaani. Endeleeni kuwahurumia mkuu.
Hata nyie mkipata hela mnatafuta sasa wenye hadhi wa kula nao.....
Muda huo mlioanza nao kutafuta mkiwa na viatu vimeisha soli mnaona sio hadhi yenu tena, msisingizie wanawake HII NI YETU SOTE😹😹😹
 
Kwani kamsimanga na nini???

Hivi kataa ndoa ni wanaume tu? Wanawake haturuhusiwi??
Huoni udhalilishaji anaofanyiwa Mkuu

Yaani huyo Tina amebakiza pointi kidogo sana aanze kuyasema ya chumbani

Kuhusu Kataa Ndoa, niwe mkweli Sijaona Wanawake timu Kataa Ndoa, wewe utakuwa wa kwanza Mkuu 😅
 
Huoni udhalilishaji anaofanyiwa Mkuu

Yaani huyo Tina amebakiza pointi kidogo sana aanze kuyasema ya chumbani

Kuhusu Kataa Ndoa, niwe mkweli Sijaona Wanawake timu Kataa Ndoa, wewe utakuwa wa kwanza Mkuu 😅
Mie ni mwanachama kitambo, ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha....KATAA NDOA!!!

Sasa mbona wapaza sauti mnaishia kusema "kamdhalilisha" kamfanya nini exactly???? Katoa size ya mzee nini??? Ako na medium?
 
Mie ni mwanachama kitambo, ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha....KATAA NDOA!!!

Sasa mbona wapaza sauti mnaishia kusema "kamdhalilisha" kamfanya nini exactly???? Katoa size ya mzee nini??? Ako na medium?
Wanawake wenzio watakaosema wafuate maneno yako watajikuta baridi linawamaliza wakati huo wewe ikifika Jioni tu unamwambia Baba Chanja unaipandia juu 😜🙌

Hujaona anasema eti ni Mzee wa kimoja chali

Hajui kimoja hicho hicho kinaweza kumfanya Mke aanze kulamba ndimu Kwa kichefuchefu 😅
 
Kwa kweli anakosea yeye aendelee na maisha yake mtu mshaachana hayo mengine anatueleza ili iweje?
 
Nikajua tu ni mimi sijui kinachoendelea!! Yanawatoooka ila hakuna anayesema ni udhalilishaji gani kafanya zaidi ya kuongea hisia zao na kutoa stress zao🙆🙆
Ndio aina ya watu ambao tunao jamiiforum
 
Wanasema ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji

Wanaume hatuwezi kukaa kimya wakati Mzee Shusho anaendelea kusimangwa Kila Kona ya Nchi tena na mtu ambaye alikula naye kiapo cha shida na Raha/ugonjwa na taabu 🤗

By the way, naomba ulete Maji tuzime huu moto badala ya Petroli

Muonee huruma Mzee Shusho 🤗
Amesimangwa vipi mbona hamsemi
 
Siyo kila kitu ni cha kuongea busara ni kupiga kimya tu keshakuwa mtu mzima yule.
Kwani kusema nimemuacha mme ili nitimize ndoto zangu ni dhambi????kumuacha mme ni dhambi???

Mfano narudia ni mfano
Mme wangu hataki mie nifanye kazi, naamua nimuache ili nikalambe dili nzito huko nipate maokoto.....ni dhambi? Nimekosea nini???
 
Christina ni Danga kama maadanga mengine ila amejificha kwenye mwamvuli wa uimbaji wa nyimbo za injili. Wee muimbaji wa nyimbo za injili kila siku uko na akina Diamond wapi na wapi?
Ukimsikiliza mara awashauri wanawake wasitoke kwenye ndoa waliojenga kwa miaka kadhaa, mara nimeachana na ndoa ili niwe mchungaji niweze kuhudumia kanisa langu, mara nilikuwa mzuri sana mama kahofia nisiharibike hivo nikaozeshwa kwa lazima. Ameshapata mileage za kutosha hebu atuache kwanza.
Hafai kwasababu yupo na diamond mbona hii hoja ni dhaifu wewe ulitaka awe na nani ili aonekane mwema?
 
Kwani kusema nimemuacha mme ili nitimize ndoto zangu ni dhambi????kumuacha mme ni dhambi???

Mfano narudia ni mfano
Mme wangu hataki mie nifanye kazi, naamua nimuache ili nikalambe dili nzito huko nipate maokoto.....ni dhambi? Nimekosea nini???
Kama ndio kasema hivyo basi tuna wajinga wengi humu jf vitu vinavyosemwa hapa ni kama kuweka chumvi na pilipili nyingi
 
Back
Top Bottom