Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Da Tina toka awe karibu na WCB lebel sijui kawaje, anaongea vitu ambavyo hakupaswa kuvisema mbele ya umma, hata km ni kweli.
 
Kutoka kushusha nyavu mpaka kushusha chup! mchezo? Alafu hawa waimbaji wa nyimbo za injili hawa sijui nakumbuka ya Frola
 
Kiuhalisia Huyo Christina ndie kavurugwa kwani yeye ndie mara nyingi humuongelea huyo mzee! Kama wameachana afanye yake aache kutafuta kiki


.Cc Smart911
Mwenye maumivu ndio hunungunika 24/7. Ukipigwa tukio vizuri hauwezi msahau aliyekupiga tukio kila siku utalala naye utaamka naye. Apatiwe daktari wa akili.
 
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Mkuu
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Mkuu una picha ya mzee wake mzee shusho
 
Marehemu G Habash alisemwa na Ladyjaydee sana. Alipoachia kombora moja Hiroshima akaonekana mbaya ila vita vikaisha
.
Ninakumbuka Gardner alisema kwa sauti ya zege "Yaani yule mwanamke (Jide) nimemkojoza kwa miaka 15..."
 
Wanasema ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji

Wanaume hatuwezi kukaa kimya wakati Mzee Shusho anaendelea kusimangwa Kila Kona ya Nchi tena na mtu ambaye alikula naye kiapo cha shida na Raha/ugonjwa na taabu 🤗

By the way, naomba ulete Maji tuzime huu moto badala ya Petroli

Muonee huruma Mzee Shusho 🤗
Kwani kamsimanga na nini???

Hivi kataa ndoa ni wanaume tu? Wanawake haturuhusiwi??
 
Back
Top Bottom