Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

gfsonwin

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
18,272
Reaction score
20,692
Wana MMU, heri ya mei mosi

Leo naomba nije na hoja hapa tuijadili sote kuhusu akina baba mie nawauliza hivi kwanini wanapenda kuwachumisha wengine dhambi? Yaani akina baba kuwachumisha watoto wao dhambi hawaoni tabu. Hivi mnapotelekezaga wake zenu na watoto ama wazazi wenzenu na watoto alafu mama ana hustle na watoto hadi wanatoboa huwaga nini kinawapata kwenye akili zenu?

Mwishoni sasa watoto wakitoboa mnaaza kulalamika, kuacha malaana ya ajabu ajabu, mnalazimisha kusaidiwa mbaya zaid huwaga hamjui mbele mnachokaga vibaya mkirudi masukari ndo mnayo achilia mbali, Gauti na ma Kansa. Kinachowashika akili ni kitu gani? Na kwanini kwenu nyie moyo wa kusamehe basi hamnaga lakin ikitokea mnahitaj msaada mnataka msamehewe?

Yaani nimekuwa nikichunguza familia nyingi zilitolekezwa na akina baba yaani wengi niliowaona huwaga wanarudi wakiwa na hali mbaya sasa najiuliza ivi walipokuwa wanaaacha hizi familia walikuywa wanawaza nini? Hivi hamuoni kwamba mnawachumisha dhambi wake/wazazi wenzenu na watoto wenu? Manake wasipokuhudumia ni dhambi afu akikuhudumia kwa shingo upande na penyewe tena ni dhambi, yaani mnatesa wenzenu bila sababu kabisa.

Sipendi kutoa mifano ya watu mnaowajua manake sitaki kuhukumu lakini nataka nijue kwanini huwa mnafanya haya kama akina baba/wanaume.
 
sista hili suala chimbuko lake ni asili (nature) zaidi kuliko uhalisia
Mama ana upendo zaidi kwa watoto kuliko baba, hapa simaanishi eti mimi sipendi watoto wangu, Noo, ila najua navyowapenda mimi mama yao anawapenda zaidi na zaidi

Hii ndo sababu kuu kwanini baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao
 
sista hili suala chimbuko lake ni asili (nature) zaidi kuliko uhalisia
Mama ana upendo zaidi kwa watoto kuliko baba, hapa simaanishi eti mimi sipendi watoto wangu, Noo, ila najua navyowapenda mimi mama yao anawapenda zaidi na zaidi

Hii ndo sababu kuu kwanini baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao
unajua hata kama ni upendo lkn kuna muda inabidi basi akili ikuamulie kwa busara
ivi brodah mtu unapotelekeza familia afu baada ya muda unarudi tena humo humo kuomba msaada tena kwa lazima unakuwa hukumbuki ama?
je usiposaidiwa huwa unalaumu nini?
 
unajua hata kama ni upendo lkn kuna muda inabidi basi akili ikuamulie kwa busara
ivi brodah mtu unapotelekeza familia afu baada ya muda unarudi tena humo humo kuomba msaada tena kwa lazima unakuwa hukumbuki ama?
je usiposaidiwa huwa unalaumu nini?

hapo kwa red umegusa kitu muhimu sana, wale wababa wanaotelekeza familia shida yao iko hapo kwenye akili kichwani, wanakuwa hawashirikishi akili kufikiria, wanakuwa wanaongozwa na hisia zaidi

Si unaona baba yake domo amebaki kulia lia tu sasa wakati yeye ndo alisababisha hayo yote
 
hapo kwa red umegusa kitu muhimu sana, wale wababa wanaotelekeza familia shida yao iko hapo kwenye akili kichwani, wanakuwa hawashirikishi akili kufikiria, wanakuwa wanaongozwa na hisia zaidi

Si unaona baba yake domo amebaki kulia lia tu sasa wakati yeye ndo alisababisha hayo yote
ukweli sikupanga kuntaja huyu baba ila amenifanya nikawaza sana ivi ni kitu gani hasa kilikamata akili yake?

ivi ni kosa gani mama wa mwanao atakalo fanya wewe usisamehe for the sake ya mtoto wako?

ivi itakugharimu kiasi gan kuwatelekeza afu uje uwakute wametoboza kwenye maisha yao?
 
ukweli sikupanga kuntaja huyu baba ila amenifanya nikawaza sana ivi ni kitu gani hasa kilikamata akili yake?

ivi ni kosa gani mama wa mwanao atakalo fanya wewe usisamehe for the sake ya mtoto wako?

ivi itakugharimu kiasi gan kuwatelekeza afu uje uwakute wametoboza kwenye maisha yao?

halafu ukichunguza zaidi utakuta kutelekeza kwenyewe kunahusiana zaidi na kuendekeza tamaa za mwili (mapenzi), unakuta pengine alikamatwa na mwanamke mwingine akatelekeza familia yake

aliyesema wanaume tuna vichwa viwili hakukosea, akili ya kichwa cha chini ikichaji, akili ya kichwa cha juu inalala fofofo
 
Bibie gfsonwin leo mei mosi sikukuu ya wafanyakazi unakuja na mada kali wakati tunasubiri mkuu wa kaya atuongezee salary tuweze kutafuna na kumumunya zaidi.

Ni hivi sisi kina Baba wakati mwingine ni wajinga kweli kweli linapokuja suala la mapenzi na matanuzi ni rahisi sana kusahau wajibu wetu.Familia nyingi tunashuhudia akina Mama wakiangaika na watoto huku kina Baba wakijidai wao ni vijogoo wasiochoka wala kupitwa na umri.

Namshukuru Mungu mimi ni Baba bora ninaona fahari kubwa sana kuwajibika kwa familia yangu na hata kwa Baba na Mama bila kujali huko nyuma walitoa mchango gani kwangu.

ukweli sikupanga kuntaja huyu baba ila amenifanya nikawaza sana ivi ni kitu gani hasa kilikamata akili yake?

ivi ni kosa gani mama wa mwanao atakalo fanya wewe usisamehe for the sake ya mtoto wako?

ivi itakugharimu kiasi gan kuwatelekeza afu uje uwakute wametoboza kwenye maisha yao?
 
Last edited by a moderator:
kwa upande wangu naona sababu inaweza kuwa ugumu wa maisha yenyewe yaani mwanaume anaona kwamba hana uwezo wa kuendesha familia hivyo anaona bora aache akijipa matumaini huenda akaja mtu kuisaidia familia.pili mwanaume anaweza akawa na uwezo ila hataki kuwajibika tu kwa sababu hayuko tayari kuendesha familia au pengine mwanamke aliyenaye

hana uelewa wa sheria za kumbanaIkitokea sasa watoto wametoboa kimaisha na mwanaume hali si nzuri ndo huja yale mawazo ya kwenda kuomba msamaha maana hakuna apendaye maisha magumu lakini pia hata kijamii mtu hawezi kuwa tajiri halafu akamwacha babaye hivihivi jamii itamwona mbaya hata kama baba huyo alimtelekeza cha muhimu na kumsamehe
 
Hali hiyo ya kutelekeza watoto (Familia) ilikuwa saana kwa wanaume tena baba zetu na sasa hivi naona kama atleast wanaume wengi ambao wapo kwenye 30s and 40s ya karibu wanajitahid sana kuwa baba bora ukilinganisha na enzi za wazee wetu..

..Ila kwa sasa naona wanawake ndiyo wanashika atamu ya kutuachia watoto, kitu kidogo tu anakwambia ntakuachia watoto wako hapa niende zangu....Na hawatanii ukifanya masihara unaachiwa watoto kweli..Refer ''THE BOSS LADY
.
 
Bibie gfsonwin leo mei mosi sikukuu ya wafanyakazi unakuja na mada kali wakati tunasubiri mkuu wa kaya atuongezee salary tuweze kutafuna na kumumunya zaidi.

Ni hivi sisi kina Baba wakati mwingine ni wajinga kweli kweli linapokuja suala la mapenzi na matanuzi ni rahisi sana kusahau wajibu wetu.Familia nyingi tunashuhudia akina Mama wakiangaika na watoto huku kina Baba wakijidai wao ni vijogoo wasiochoka wala kupitwa na umri.

Namshukuru Mungu mimi ni Baba bora ninaona fahari kubwa sana kuwajibika kwa familia yangu na hata kwa Baba na Mama bila kujali huko nyuma walitoa mchango gani kwangu.
Ngongo kwanza napenda kukupongeza sana kwa kuwa baba bora manake you are worth it
well mie hii tabia naikosea jibu ndio mana hata mnaposema eti ni tamaa sielewi jaman mbnona kama ni tamaa hata wamama wanazo na mwisho wa siku hubaki kulea watoto wao hata kama itawagharimu kuuza miili yao?
 
Last edited by a moderator:
Hali hiyo ya kutelekeza watoto (Familia) ilikuwa saana kwa wanaume tena baba zetu na sasa hivi naona kama atleast wanaume wengi ambao wapo kwenye 30s and 40s ya karibu wanajitahid sana kuwa baba bora ukilinganisha na enzi za wazee wetu.

...Ila kwa sasa naona wanawake ndiyo wanashika atamu ya kutuachia watoto, kitu kidogo tu anakwambia ntakuachia watoto wako hapa niende zangu....Na hawatanii ukifanya masihara unaachiwa watoto kweli..Refer ''THE BOSS LADY
.

manuu
sio kweli kwamba wababa wa kileo eti hili limewaepuka nina mfano wa vijana mbao wako kwenye late 30's wakiume wametelekeza watoto wao kwa wake na huko walipo wanafanya kazi na wanawake wengine............
mfano mzuri ni wa mtu w aakribu yangu kabisa yaani yy hadi huo mchepuko wa maumewe ulimtungia stori ya kumteka akapone achupuchupu kupewa mvua ya maana na magoma apo kinondoni mahakaman...............nilijiuliza ivi kweli ata maisha ya zaman ya baba yako bado hayaja kufunza?

nataman mtueleze shida i wapi ili sasa tujue tuwasadieje sisi wanawake
 
kwa upande wangu naona sababu inaweza kuwa ugumu wa maisha yenyewe yaani mwanaume anaona kwamba hana uwezo wa kuendesha familia hivyo anaona bora aache akijipa matumaini huenda akaja mtu kuisaidia familia.pili mwanaume anaweza akawa na uwezo ila hataki kuwajibika tu kwa sababu hayuko tayari kuendesha familia au pengine mwanamke aliyenaye hana uelewa wa sheria za kumbanaIkitokea sasa

watoto wametoboa kimaisha na mwanaume hali si nzuri ndo huja yale mawazo ya kwenda kuomba msamaha maana hakuna apendaye maisha magumu lakini pia hata kijamii mtu hawezi kuwa tajiri halafu akamwacha babaye hivihivi jamii itamwona mbaya hata kama baba huyo alimtelekeza cha muhimu na kumsamehe

hivi hekimamali, huo ugumu wa maisha yeye tu ndo anaokumbana nao?

na je nani antegemewa aje awe msaada kwa watoto wake/familia yake/

ivi anaporudi kuomba msamaha wewe kama mama ama mtoto ulotelekezwa utasamehe kweli?

nimejikuta namkumbuka Kongosho na King'asti kwenye hii hoja
 
Ni UBINAFSI tu.

Kuna baadhi ya wanaume hawajali yeyote zaidi yake. Mahitaji yake, tamaa zake na hisia zake pekee ndo zenye umuhimu. Anapomuacha ama kumfukuza mama na mtoto/watoto anakua hajali huyo mama atapata shida kiasi gani ama hao watoto. Mwisho siku akipata matatizo napo anarudi kwaajili tu ya shida ZAKE bila kujali hisia za anaowarudia na kwamba wamepitia yapi mpaka kufikia walipofika wakati yeye akiwa anakula maisha solo.

Nadhani ifike mahali wanaume wenye watoto wawe na huruma kiasi na wapunguze ubinafsi. Umenogewa na penzi la nje huko nenda, hamia na usirudi tena. Lakini usisahau ulowaacha nyuma kwa kuwa-support kifedha ili nao maisha yao yasiweya shida sana.
 
Ni UBINAFSI tu.

Kuna baadhi ya wanaume hawajali yeyote zaidi yake. Mahitaji yake, tamaa zake na hisia zake pekee ndo zenye umuhimu. Anapomuacha ama kumfukuza mama na mtoto/watoto anakua hajali huyo mama atapata shida kiasi gani ama hao watoto. Mwisho siku akipata matatizo napo anarudi kwaajili tu ya shida ZAKE bila kujali hisia za anaowarudia na kwamba wamepitia yapi mpaka kufikia walipofika wakati yeye akiwa anakula maisha solo.

Nadhani ifike mahali wanaume wenye watoto wawe na huruma kiasi na wapunguze ubinafsi. Umenogewa na penzi la nje huko nenda, hamia na usirudi tena. Lakini usisahau ulowaacha nyuma kwa kuwa-support kifedha ili nao maisha yao yasiweya shida sana.
Lizzy kwanza karibu sana manke ni siku nyingi sana hatujakutana kwenye mjadala hapa jamvini

well ubinafsi nakubaliana na wewe ila sasa kinachonishangaza ni hiki kwenye huo ubinafsi wao kwann huwa hawakubali kuuendekeza wanapokuwa na matatizo??
yaani waseme kwakua niliwatelekeza basi shida zangu ni baki nazo mimi hadi mauti inikute??

hivi umewah kujiuliza wewe u mke wa ndoa unaachwa na watoto 8, baba anahamia kwa kimada afu siku ya mwisho kimada anakurudishia huyo mzazi mwenzio akiwa hosp hajiwez, eti umchukue kwenda kulea mgonjwa??
imagine amekupatisha shida ukiwa kijana umejikokota adi umekuwa mtu mzima afu leo hii anakurudia akiwa mgonjw auanze kulea mgonjwa?? ivi kwann asiwaze kwamba acha nife kiume tuu?
yani wee mama uwe mtu wa kuhesabu shida tuu toka ujana adi uzee khaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Ni UBINAFSI tu.

Kuna baadhi ya wanaume hawajali yeyote zaidi yake. Mahitaji yake, tamaa zake na hisia zake pekee ndo zenye umuhimu. Anapomuacha ama kumfukuza mama na mtoto/watoto anakua hajali huyo mama atapata shida kiasi gani ama hao watoto. Mwisho siku akipata matatizo napo anarudi kwaajili tu ya shida ZAKE bila kujali hisia za anaowarudia na kwamba wamepitia yapi mpaka kufikia walipofika wakati yeye akiwa anakula maisha solo.

Nadhani ifike mahali wanaume wenye watoto wawe na huruma kiasi na wapunguze ubinafsi. Umenogewa na penzi la nje huko nenda, hamia na usirudi tena. Lakini usisahau ulowaacha nyuma kwa kuwa-support kifedha ili nao maisha yao yasiweya shida sana.
Lizzy kwanza karibu sana manke ni siku nyingi sana hatujakutana kwenye mjadala hapa jamvini

well ubinafsi nakubaliana na wewe ila sasa kinachonishangaza ni hiki kwenye huo ubinafsi wao kwann huwa hawakubali kuuendekeza wanapokuwa na matatizo??
yaani waseme kwakua niliwatelekeza basi shida zangu ni baki nazo mimi hadi mauti inikute??

hivi umewah kujiuliza wewe u mke wa ndoa unaachwa na watoto 8, baba anahamia kwa kimada afu siku ya mwisho kimada anakurudishia huyo mzazi mwenzio akiwa hosp hajiwez, eti umchukue kwenda kulea mgonjwa??
imagine amekupatisha shida ukiwa kijana umejikokota adi umekuwa mtu mzima afu leo hii anakurudia akiwa mgonjw auanze kulea mgonjwa?? ivi kwann asiwaze kwamba acha nife kiume tuu?
yani wee mama uwe mtu wa kuhesabu shida tuu toka ujana adi uzee khaaa!!
 
Last edited by a moderator:
unajua hata kama ni upendo lkn kuna muda inabidi basi akili ikuamulie kwa busara
ivi brodah mtu unapotelekeza familia afu baada ya muda unarudi tena humo humo kuomba msaada tena kwa lazima unakuwa hukumbuki ama?
je usiposaidiwa huwa unalaumu nini?
Kumbuka wakati unataka nifanye maamuzi ya busara nipo kwa mwanamke napewa vitu vitamu.hapo ni muumba aingilie kati kunusuru.
 
manuu sio kweli kwamba wababa wa kileo eti hili limewaepuka nina mfano wa vijana mbao wako kwenye late 30's wakiume wametelekeza watoto wao kwa wake na huko walipo wanafanya kazi na wanawake wengine............
mfano mzuri ni wa mtu w aakribu yangu kabisa yaani yy hadi huo mchepuko wa maumewe ulimtungia stori ya kumteka akapone achupuchupu kupewa mvua ya maana na magoma apo kinondoni mahakaman...............nilijiuliza ivi kweli ata maisha ya zaman ya baba yako bado hayaja kufunza?

nataman mtueleze shida i wapi ili sasa tujue tuwasadieje sisi wanawake
Upo sahihi sana ila ukijaribu kuchunguza kabla ya baba kuacha watoto unakuta huko ndan ya nyumba yao kulikuwa na sinto fahamu ya muda sana na wanaume unajua tunanyanyaswa sana siku hizi ni kina mama yaan ni siri yetu, Na unakuta mwanamke anakuletea mapozi kisa tu mmeshafunga ndoa ataleta timbwili kila kukicha inafikia had haki ya ndoa tunanyimwa hafu ukimwangalia mwanamke mwenyewe ukimuamilia hata dk achukue kabla hujamharibu sura na hapo watoto wako kwenye age ya kisheria kuwa inatakiwa wawe chin ya uangalizi wa mama...unadhan nin kinafuata hapo?
 
Baba huwa hamwachi mwanae,anamwache pale mtoto akikaidi ushauri wa baba,unakuta mababa wengine wa kizamani,sasa mtoto anakuja kutoboa baba anakuwa piriton maana alimshauri mtoto asingefanikiwa kwa njia hizo,mfano,baba wa diamond usikute aliwahi kumshauri diamond asivae cheni,hereni,asiimbe mziki ni uhuni,leo mtoto katoboa baba mdomo wazi na amekumbwa na matatizo no option wakati diamond ana choo cha gold iliyogarimu million 70 sawa na kombe la timu zote Tanzania bara inayogombaniwa...........cha msingi usimpotezee baba,anaweza ongea pumba ila kuna point lazima inakuhusu.
 
Yaani ni kero na tena usiniambie maana kwangu majanga tupu.... Kwa kifupi kabisa wanawake wenzenu wasio na fadhila na wasioheshimu ndoa na muundo wake ndio wanaowapoteza hawa wababa mafedhuli na wasio na heshima... Kwa sasa wanasema michepuko...Hivi kama kila mwanamke angejaribu kuubeba mzigo wa mwenzie na kuwakimbia hawa wababa watia nuksi unafikiri kuna ndoa au familia ingekuwa njia panda???????? Wanawake hampendani ila pia kwa aina hii ya wababa mimi naona bora wasingezaliwa au wangeishia mateja na machizi ili wasiharibu dunia zaidi.
 
Lizzy kwanza karibu sana manke ni siku nyingi sana hatujakutana kwenye mjadala hapa jamvini

well ubinafsi nakubaliana na wewe ila sasa kinachonishangaza ni hiki kwenye huo ubinafsi wao kwann huwa hawakubali kuuendekeza wanapokuwa na matatizo??
yaani waseme kwakua niliwatelekeza basi shida zangu ni baki nazo mimi hadi mauti inikute??

hivi umewah kujiuliza wewe u mke wa ndoa unaachwa na watoto 8, baba anahamia kwa kimada afu siku ya mwisho kimada anakurudishia huyo mzazi mwenzio akiwa hosp hajiwez, eti umchukue kwenda kulea mgonjwa??
imagine amekupatisha shida ukiwa kijana umejikokota adi umekuwa mtu mzima afu leo hii anakurudia akiwa mgonjw auanze kulea mgonjwa?? ivi kwann asiwaze kwamba acha nife kiume tuu?
yani wee mama uwe mtu wa kuhesabu shida tuu toka ujana adi uzee khaaa!!
Asante mamii gfsonwin

Yani tunarudi pale pale kwenye ubinafsi. Anakuwa anataka shida zake ziwe za wengine, hisia zake za kulia lia ziwahusu hiyo familia yake alotelekeza bila kujali wao wanajisikiaje.

Watu wabinafsi ndivyo walivyo..hawajali wengine.Everything has to be about them and no one else.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom