Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,105
Kwa kweli hawa watu hawajielewi, hawajitambui wala hawajijui. namuheshimu sana mwanaume hata kama kazaa nje ila anamuhudumia malaika asiye nahatia, ila jitu linalotelekeza watoto aisee naweza kumchoma bisibisi kwa kweli,
Ngoja waje watoe sabubu wenyewe za msingi za kwanini wanafanya hivi.
Ngoja waje watoe sabubu wenyewe za msingi za kwanini wanafanya hivi.