Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

Hadi kuanza kuishi na mwanamke tayari level ya uvulana imeshavukwa. Sometimes unakuta mwanaume amejitahidi weeeeeee lkn hola! Hebu jiulize nn chanzo cha michepuko?

Kuishi na mwanamke sio sababu ya kwamba mtu kauvuka uvalana, wanaume wengi tu wapo 25-35 lakini akili zao bora hata mvulana wa miaka 14, mtu aliyekomaa kiakili ndoa haimshindi hata siku moja, hata akichepuka lakini nyumbayake ataiheshimu kama madhabahu.
 
Tusifichane wanaume wengi wamekua chanzo cha matatizo ya kifamilia kwa sababu moja ya u selfish wetu,Huwa tunajiangalia sisi zaidi kuishinda familia au watoto na ndiyo maana watoto wengi wa Tanzania ukiwauliza nani unampenda na kumuona kama muokozi wako hapa dunianj utasikia "MAMA " Mimi ni mkazi wa gongo la mboto siku ya mabomu wababa tulikimbia na kuacha familia nyuma na watoto walikuwa wakikimbia wakiwa na watoto wamewashika mkono na kuwabeba mgongoni ila wababa tulijikuta tumefika Ubungo kwa mbio na baada ya hali kuwa tulivu ndiyo tukaanza kukumbuka kuwa nyuma tumewaacha wake zetu na watoto aisee Ni aibu sana ilitukuta baada ya kurudi home.
 
utulivu my foot
yaani kweli unaona haki kutesa watoto kwa kosa la mke? Kwann uimuadabishe aish kwa amani kwenye mipaka yako ili ulee wanao vzr?

Mhhhh wagumu hao, waache tu! Nadhani ww unawachukulia poa wanawake wenzio, labda mnatofautiana upeo but si mchezo wanawake! asikuambie mtu! vita yao ngumu sana, haina kichwa wala miguu!
 
Haya sasa, unafikiri mpo mbali sana? Mpo humu humu gfsonwin. Sasa kwann umlishe mtoto sumu mbaya kiasi hicho, na akija kubaini ukweli baadaye maanake ipo siku baba yake ama jirani yako atampa full stori! Ama ipo siku naye ataolewa ama ataoa na atajionee mwenyewe! Uso wako utauificha wapi!

Wenzetu muwe makini jamani....biblia inasema mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe. Kwa nini hakusema mwanaume? Hiki ni kiashiria kuwa problems nyingi kwenye mahusiano huanzia kwa mwanamke!

Mwanamke hawezi kuibomoa nyumba yake kama mwanaume ataishi nae kwa akili na atasimama katika sehemu yake kama kichwa cha nyumba, kama mwanaume mpumbavu pumbavu tu hajiamini ,hajiekewi nani atamuheshimu?????? Kuwa kichwa lazima utumie akili kuhakikisha walio chini yako wanakutii na kuwa salama.
 
kwa iyo nyie haya yakiwakuta sabb ni uchawi sio?
ivi uko kulogwa wanawake huwa hawalogwi?
ivi je huwa hata huruma inakuwa hamna?


  • Sababu zinaweza kuwa nyingi, hiyo ni moja wapo tu.
  • Mara nyingi wanawake wanarogwa na wanawake wenzao kwa sababu hizo hizo za kuchukuliana wanaume.
  • Huruma itatokea wapi wakati akili siyo yako tena kipindi kile. Mpaka ujue ushtuke muda ushakwenda.

Na kuna baadhi ya wanawake wanalazimisha mimba kwa kujua kwamba ndiyo kigezo cha kuolewa na huyo mwanaume. Mwisho wa siku anabaki kutelekezwa.
 
Tusifichane wanaume wengi wamekua chanzo cha matatizo ya kifamilia kwa sababu moja ya u selfish wetu,Huwa tunajiangalia sisi zaidi kuishinda familia au watoto na ndiyo maana watoto wengi wa Tanzania ukiwauliza nani unampenda na kumuona kama muokozi wako hapa dunianj utasikia "MAMA " Mimi ni mkazi wa gongo la mboto siku ya mabomu wababa tulikimbia na kuacha familia nyuma na watoto walikuwa wakikimbia wakiwa na watoto wamewashika mkono na kuwabeba mgongoni ila wababa tulijikuta tumefika Ubungo kwa mbio na baada ya hali kuwa tulivu ndiyo tukaanza kukumbuka kuwa nyuma tumewaacha wake zetu na watoto aisee Ni aibu sana ilitukuta baada ya kurudi home.
Billie asante san kwa kutuambiam ukweli kwamba wabab ni slefish na naona hapa Lizzy atakuwa a,mepata sapoti kwa point yake
 
Last edited by a moderator:
Tusifichane wanaume wengi wamekua chanzo cha matatizo ya kifamilia kwa sababu moja ya u selfish wetu,Huwa tunajiangalia sisi zaidi kuishinda familia au watoto na ndiyo maana watoto wengi wa Tanzania ukiwauliza nani unampenda na kumuona kama muokozi wako hapa dunianj utasikia "MAMA " Mimi ni mkazi wa gongo la mboto siku ya mabomu wababa tulikimbia na kuacha familia nyuma na watoto walikuwa wakikimbia wakiwa na watoto wamewashika mkono na kuwabeba mgongoni ila wababa tulijikuta tumefika Ubungo kwa mbio na baada ya hali kuwa tulivu ndiyo tukaanza kukumbuka kuwa nyuma tumewaacha wake zetu na watoto aisee Ni aibu sana ilitukuta baada ya kurudi home.

teh teh...ww ndo mmoja wao lakini hampo wengi sana kama unavyosema! Mwenzako nilihakikisha security ipo maximized siku ya mabomu. Mm kama kiongozi mkuu aya.tollah wa familia. Nilikuwa tabata!

Familia ilikuwa inasubiri maelekezo kutoka kwa kichwa cha nyumba. Lakini nimebaini kitu hapa. Malezi pia ya awali yana mchango mkubwa sana katika mambo haya ya kifamilia. Sisi kwa mfano tunafundishwa from the beginning kuwa ustawi wa familia upo mikononi mwa baba! Baba ni kiongozi mkuu!
 
Mwanamke hawezi kuibomoa nyumba yake kama mwanaume ataishi nae kwa akili na atasimama katika sehemu yake kama kichwa cha nyumba, kama mwanaume mpumbavu pumbavu tu hajiamini ,hajiekewi nani atamuheshimu?????? Kuwa kichwa lazima utumie akili kuhakikisha walio chini yako wanakutii na kuwa salama.

Daaaaa haya mama, mm sitii neno hapa! Japo najua wengi tunajiamini, na kujiheshimu sana!
 
Kuishi na mwanamke sio sababu ya kwamba mtu kauvuka uvalana, wanaume wengi tu wapo 25-35 lakini akili zao bora hata mvulana wa miaka 14, mtu aliyekomaa kiakili ndoa haimshindi hata siku moja, hata akichepuka lakini nyumbayake ataiheshimu kama madhabahu.

Nimekunyooshea mikono! cc gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Uwii ila ukifanya hivyo bado pia utakuwa humtendei haki mtoto wako ujue

My kama baba hana habari na mtoto nimdanganye kuwa anapendwa ili iweje???? nampa ukweli wake ili ajue hatakiwi huko na mimi ndio kila kitu kwake, maisha ya uongo mwisho nokia torch, ulimwengu wa smart phone hauhitaji kumdanganya mtu.
 
unajua hata kama ni upendo lkn kuna muda inabidi basi akili ikuamulie kwa busara
ivi brodah mtu unapotelekeza familia afu baada ya muda unarudi tena humo humo kuomba msaada tena kwa lazima unakuwa hukumbuki ama?
je usiposaidiwa huwa unalaumu nini?

Naomba mleta hoja nikuswalike kaswali. Hivi hakuna kina mama wanaotelekeza familia zao.....!?
 
sasa inakuwaje wababa hamulion hili?

Jaribu kuifikirisha kidogo akili yako....nilikuwa namaanisha kuwa tukio la kuwa baba haliishii tu kwenye kuweza kusimamisha mtalimbo na kumpa mimba mwanamke bali pia hukamilika kwa kuweza kukabiliana na majukumu ya kukitunza kile ulichokileta hapa duniani mpaka siku kitapoweza kusimama chenyewe.....usipofanikiwa kuyafanya hayo yote ni dhahiri kuwa umeshajivua sifa za kuwa baba bali umeshakuwa sperm donors......THINK BIG..
 
Wana MMU
herini ya mei mosi.........
Leo naomba nije na hoja hapa tuijadili sote kuhusu akina baba...........

mie nawauliza hivi kwanini wanapenda kuwachumisha wengine dhambi? Yaani akina baba kuwachumisha watoto wao dhambi hawaoni tabu. Hivi mnapotelekezaga wake zenu an watoto ama wazazi wenzenu na watoto afu mama ana hustle na watoto hadi wanatoboa huwaga nini kinawapata kwenye akili zenu?

mwishoni sasa watoto wakitoboa mnaaza kulalamika, kuacha malaana ya ajabu ajabu, mnalazimisha kusaidiwa mbaya zaid huwaga hamjui mbele mnachokaga vibaya mkirudi masukari ndo mnayo achilia mbali, magauti na ma kansa.

Kinachowashika akili ni kitu gani? na kwann kwenu nyie moyo wa kusamehe basi hamnaga lakin ikitokea mnahitaj msaada mnataka msamehewe??

Yaani nimekuwa nikichunguza familia nyingi zilitolekezwa na akina baba yaani wengi niliowaona huwaga wanarudi wakiwa na hali mbaya sasa najiuliza ivi walipokuwa wanaaacha hizi familia walikuywa wanawaza nini?

Hivi hamuoni kwamba mnawachumisha dhambi wake/wazazi wenzenu na watoto wenu?? manake wasipokuhudumia ni dhambi afu akikuhudumia kwa shingo upande na penyewe tena ni dhambi, yaani mnatesa wenzenu bila sababu kabisa.

sipendi kutoa mifano ya watu mnaowajua manake sitak kuhukumu lkn nataka nijue kwaninin huwa mnafanya haya kama akina baba/wanaume

Sehemu kubwa,Tatizo ni nyie nyie wanawake.
Unajua jamaa anamke na watoto.unamteka.
Unamfanya asahau familia yake.
Unamfanya achukie familia yake.
Unamuahidi mazuri.
KUMBE UNACHOTAKA NI PESA ZAKE,
AU NGUVU ZAKE.
unamchuna weeeee/unamchosha weeeee.
Akitepweta unamtimua.

Aende wapi?

Hakujua kama anakosea pengine!
Hakujua watoto wanakula nini?
Ila hakua yeye MOYO WAKE ULIDANGANYIKA.

anarudi kwa mkewe kwa watotowe.

Na ndipo mahali sahihi!

Aende wapi?

Wanawake nyie mna jukumu la kuwachunga wanaume.

Na wanaume wanajukumu la kuwalea(mahabatically)

Si jambo zuri. Ila

Mapungufu kaumbiwa binadamu.

Muhimu kusameheana.
Kuelezana,kuelewana.

Dunia Maiuto/dunia njia.
Ya mini ufe umenuna!

Samehe bure,mpokee mwenzio.

Yaliyo pita si ndwele,mgange yawajiayo mbele.na maisha yaendelee.

Kitu kizuri zaidi kwa mtoto kulelewa na baba na mama kwa pamoja.

Ila wanaume tubadilike,tuinamishe macho chini.

Ili familia zetu ziwe na furaha,amani,upendo na utulivu.

KATIKA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA.
 
Nimekushindwa mwanamke wewe......naona unan geuzageuza tu kama samaki wa zenji! hahahaha!
Anyway ngoja nije pm tumalizie huko!

We we we!!!!! usikanyage huko, ujue mke wa mtu mimi, na huko mme wangu anashinda sasa jitupe mkajibizane nae.
 
Jaribu kuifikirisha kidogo akili yako....nilikuwa namaanisha kuwa tukio la kuwa baba haliishii tu kwenye kuweza kusimamisha mtalimbo na kumpa mimba mwanamke bali pia hukamilika kwa kuweza kukabiliana na majukumu ya kukitunza kile ulichokileta hapa duniani mpaka siku kitapoweza kusimama chenyewe.....usipofanikiwa kuyafanya hayo yote ni dhahiri kuwa umeshajivua sifa za kuwa baba bali umeshakuwa sperm donors......THINK BIG..
unless hujanielewa nilimaanisha kwamba kwann akina baba hawaoni hayo uliyoyasema mwanzoni.............
ndo mana nikauliza kwann hamlioni hili mnaishia kuzitenda familia zenu hasa watt?
 
Sehemu kubwa,Tatizo ni nyie nyie wanawake.
Unajua jamaa anamke na watoto.unamteka.
Unamfanya asahau familia yake.
Unamfanya achukie familia yake.
Unamuahidi mazuri.
KUMBE UNACHOTAKA NI PESA ZAKE,
AU NGUVU ZAKE.
unamchuna weeeee/unamchosha weeeee.
Akitepweta unamtimua.

Aende wapi?

Hakujua kama anakosea pengine!
Hakujua watoto wanakula nini?
Ila hakua yeye MOYO WAKE ULIDANGANYIKA.

anarudi kwa mkewe kwa watotowe.

Na ndipo mahali sahihi!

Aende wapi?

Wanawake nyie mna jukumu la kuwachunga wanaume.

Na wanaume wanajukumu la kuwalea(mahabatically)

Si jambo zuri. Ila

Mapungufu kaumbiwa binadamu.

Muhimu kusameheana.
Kuelezana,kuelewana.

Dunia Maiuto/dunia njia.
Ya mini ufe umenuna!

Samehe bure,mpokee mwenzio.

Yaliyo pita si ndwele,mgange yawajiayo mbele.na maisha yaendelee.

Kitu kizuri zaidi kwa mtoto kulelewa na baba na mama kwa pamoja.

Ila wanaume tubadilike,tuinamishe macho chini.

Ili familia zetu ziwe na furaha,amani,upendo na utulivu.

KATIKA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA.

mie ilo la kusema wanalogwa najiliza kwanza unalogwa wewe ulikuwa wapi??
uliyumwa uanze ukaribu na mtu asiyekuwa jamaa yako?
wee kilichokupeleka kula kwa watu kitu gani?
 
Naomba mleta hoja nikuswalike kaswali. Hivi hakuna kina mama wanaotelekeza familia zao.....!?

mimi nimewah skia mama ameua mtoto kwa kumtupa baada ya kuzaa lkn wa kutelekeza watt sijawai skia
 
Back
Top Bottom