Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unless hujanielewa nilimaanisha kwamba kwann akina baba hawaoni hayo uliyoyasema mwanzoni.............
ndo mana nikauliza kwann hamlioni hili mnaishia kuzitenda familia zenu hasa watt?
dada zangu kabla hamjatulaumu sisi wanaume...ingekuwa vyema kwanza na nyinyi mkajitathmini kwa namna moja au nyingine...ukiangalia katika jicho la tatu utagundua kuwa wanawake wa karne hii wamepoteza sifa za kuolewa kwa sababu ya tabia zao mbovu....wengi wao wanasifika kwa kuwabambikia mimba wanaume....wengi wao wanasifika kwa kuwagonganisha wanaume....katika hali kama hiyo nani atakuwa na amani na kuwajibika katika ujauzito ambao una mashaka nayo....hakuna mwanaume aliyetimamu wa akili ambaye atakuwa na amani kulea mimba ya mwanamke ambae mara kibao alikuwa anamfumania....
hahahhaa................. The Dealer uwe machom usije tolewa utumbo huko
mie ilo la kusema wanalogwa najiliza kwanza unalogwa wewe ulikuwa wapi??
uliyumwa uanze ukaribu na mtu asiyekuwa jamaa yako?
wee kilichokupeleka kula kwa watu kitu gani?
Let me ask you, yaani niishi kwa mateso ambayo hayavumiliki kwa mtu ambaye hana muelekeo? Sikua kabisa radhi mtoto kuondoka lakini kwa kuwa ni mzazi mwenzangu kaenda home na wanamjua akasema anakwenda likizo atamrejesha na amegoma kumleta labda wewe unashauri nifanyaje? Nikamuoe?
Dada zangu kabla hamjatulaumu sisi wanaume...ingekuwa vyema kwanza na nyinyi mkajitathmini kwa namna moja au nyingine...ukiangalia katika jicho la tatu utagundua kuwa wanawake wa karne hii wamepoteza sifa za kuolewa kwa sababu ya tabia zao mbovu....wengi wao wanasifika kwa kuwabambikia mimba wanaume....wengi wao wanasifika kwa kuwagonganisha wanaume....katika hali kama hiyo nani atakuwa na amani na kuwajibika katika ujauzito ambao una mashaka nayo....hakuna mwanaume aliyetimamu wa akili ambaye atakuwa na amani kulea mimba ya mwanamke ambae mara kibao alikuwa anamfumania....
My hakuna limbwata wala nini, wanaume wengi wanatamaa sasa anapojikuta kampa mimba mwanamke ambaye sio chaguo lake anaweza kumlazimisha bint atoe na akikataa anatoka nduki mita 1000, hapo hata mtoto hana habari nae. siku zote wanawake kwa hili ni wahanga kabisa.
Ndugu uko na umri gani? Wanaume kutelekeza wake na watt haikuanza hii karne ilianza toka enzi na enzi sidhani kama kuna sababu ya maana zaidi ya kuwa ni laana.
Upo sahihi sana ila ukijaribu kuchunguza kabla ya baba kuacha watoto unakuta huko ndan ya nyumba yao kulikuwa na sinto fahamu ya muda sana na wanaume unajua tunanyanyaswa sana siku hizi ni kina mama yaan ni siri yetu, Na unakuta mwanamke anakuletea mapozi kisa tu mmeshafunga ndoa ataleta timbwili kila kukicha inafikia had haki ya ndoa tunanyimwa hafu ukimwangalia mwanamke mwenyewe ukimuamilia hata dk achukue kabla hujamharibu sura na hapo watoto wako kwenye age ya kisheria kuwa inatakiwa wawe chin ya uangalizi wa mama...unadhan nin kinafuata hapo?
Na matukio ya wanawake kuwasingizia mimba wanaume hayakuanza leo....
Hayakuanza leo lakini zamani kulikuwa na traditions kali. Unataka kuniambia unaacha mke na watt zaidi ya wawili wote hao unasema umesingiziwa? Na kama umesingiziwa mbona uzeeni unarudi utanataka wakusaidie? Mjaribu kureason kama binadamu na si mbwa ambaye hajui hata alizalisha nani na wtt waliishia wapi.
Dada zangu kabla hamjatulaumu sisi wanaume...ingekuwa vyema kwanza na nyinyi mkajitathmini kwa namna moja au nyingine...ukiangalia katika jicho la tatu utagundua kuwa wanawake wa karne hii wamepoteza sifa za kuolewa kwa sababu ya tabia zao mbovu....wengi wao wanasifika kwa kuwabambikia mimba wanaume....wengi wao wanasifika kwa kuwagonganisha wanaume....katika hali kama hiyo nani atakuwa na amani na kuwajibika katika ujauzito ambao una mashaka nayo....hakuna mwanaume aliyetimamu wa akili ambaye atakuwa na amani kulea mimba ya mwanamke ambae mara kibao alikuwa anamfumania....
Mtoa mada salute cc vjana Wengi sana maarufu Leo Na wengne tupo serikalini ktk vtengo vya maana