Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

Mostly mnatuzingua, hamtuelewi wala hakuna sababu nyingine zaidi! Sasa ujue wanaume wengi hawapendi mvutano na wanawake, so wanaamua kuchukua hamsini zao mbele kwa mbele!

Mwanaume asiyeweza kukabiliana na changamoto huyo ni mvulana. mshaambiwa ishini na wake zenu kwa akili sio mashindano.
 
mie hii hoja ya ugumu wa maisha afu mtu anatake advantage ya kusaidiwa na mtu baki mie binafsi siiafiki hata kidogoivi kwani ukikaa tukajadiliana hatuwez kufikia suluhisho?
Ni kweli mkijadiliana mnaweza mkapata suluhisho lakini kwa maisha ya sasa ni nadra sana, maisha yanapokuwa magumu kwa sasa ndoa au mahusiano huyumba hivyo kwa mwanaume jasiri atasimama kidete labda mwanamke mwenyewe aondoke lakini kama mwanaume si jasiri ,mwoga wa maisha na aonaye aibu juu ya hali duni ya familia yake (huenda alikuwa tajiri sasa kafilisika) huyo uwezekano mkubwa ni kuikacha familiamaisha magumu huenda si sababu ya msingi sana lakini huchangia pia kwa kiasi chake
 
ivi unamuoa mtu afu unakuja kumtelekeza eti kakukosea kweli wewe uko na huruma?

Sio fair kumtelekeza lakini tunajaribu kuangalia zaidi upande wa wanaume kama topic ilivyo! NALAANI KWA NGUVU ZOTE VITENDO KAMA HIVI!
 
mmh mie nisiseme sana kuhusu ilo la vitamu kuharibu akili ila nije kwenye kuhurumiwa, ivi kweli unataka huruma kwa mtu uliyemtenda?

kiukweli sitegemei huruma kutoka kwake.lakini I know she can forgive me just because I know she loves me. You know we men's knows our women's weaknesses.
 
ivi kwani ukikaa tukajadiliana hatuwez kufikia suluhisho? = = =this is condition namba moja kwanini baba c amekuchagua among others! Kama hajawahi kukuambia, basi leo nakuambia kwa niaba yake. Kama yupo home hapo muuonyesha hii comment uone atakavyokupa busu kuuuubwa! Hivyo habari ya love me as i am ni nadharia tu! Kwann hujwahi kusikia wadada wakisema ooohhh mara me huyu yupo hot na blah blah kibao...hizo ndo conditions zenyewe attached and must be maintained throughout!

Wanawake pia wanaacha wanaume kisailensi zaidi...soma kitabu cha bible cha mithali utaelewa ninachomaanisha hapa kuhusu jinsi mwanamke anavyomuacha mwanamme!

Makelele tu yanatutosha kutukimbiza ndoani!

sawa makelel yangu yanakukimbiza sasa je wewe as baba utakuwa umemtendea haki mtoto/watoto wako? Na kwann uwe selfish ivyo?
 
sawa kunapo anapohudumia lkn je hivi akili inakuwa imeshikiliwa ama?


Narudia tena kusema ndiyo. Unajua mwanamue anafanyiwa vitu vingi sana na mwanamke ili huyo mwanamke amshike huyo mwanaume. Wanaume wengine mpaka wanaendewa kwa waganga ili wasahau familia zao, na anayefanya haya yote ni huyo huyo anayeitwa mwanamke.
 
Mwanaume asiyeweza kukabiliana na changamoto huyo ni mvulana. mshaambiwa ishini na wake zenu kwa akili sio mashindano.

Hadi kuanza kuishi na mwanamke tayari level ya uvulana imeshavukwa. Sometimes unakuta mwanaume amejitahidi weeeeeee lkn hola! Hebu jiulize nn chanzo cha michepuko?
 
...unajua mpaka watu wanaamua kuachana kaa ufahamukuwa wamejitahidi kila wawezavyo ila imeshindikana. kuna sababu nyingi sana zinazopelekea haya, moja ni changamoto za maisha, pia mda mwingine ni pressure toka kwa wazazi. utakuta binti kajifungua na mshkaji amemchukua wanaishi wote ila bado wazazi wana-force wafunge ndoa bila kujua hayo ni mambo yao binafsi na ni vema waachwe waamue wenyewe. sasa kinachotokea ni wazazi kutompa raha mwanaume, unatoka kwenye miangaiko unarudi home mwenzako analeta topics za ndoa hadi unachoka, ndo unakuwa wimbo wa taifa. sasa kinachokuja kutokea ni mwanaume kuchoka sabu unajaribu kumweleza mwenzako ila hakuelewi so unaamua mpeane time kila mtu afanye mambo yake binti anarudi kwake na wewe unaendelea na maisha. mambo haya nimeyaona na yamemtokea mtu wangu wa karibu sana ila naweza sema kwa asilimia kubwa wazazi walipoingilia walisababisha watu watengane. wadada mnaweza kuja kunishambulia na kusema kwani angemuoa tu hivyo hivyo si wangeishi tu na kupanga mambo yao slowly? na mimi nauliza mbona hampendi kutupa nafasi, mbn mnapenda kutuburuza na kufanya mambo haraka kwa speed muipendayo. maana mara nyingi ndoa za dizain hii hazidumu. hivyo dada gfsonwin, hatuwatelekezaji wake zetu wala watoto wetu wazuri ila mda mwingine mambo haya yakitokea ni vigumu sana kueleza na kueleweka.
 
kiukweli sitegemei huruma kutoka kwake.lakini i know she can forgive me just because i know she loves me. You know we men's knows our women's weaknesses.
na iyo ndo silaha kubwa mnayotumia
nimewah kuona mama kaletewa mumewe kitanda cha hosp........
Mama akauguza adi baba akamfia lkn baba alitelekeza familia for more than 16 yrs imagine
 
sawa makelel yangu yanakukimbiza sasa je wewe as baba utakuwa umemtendea haki mtoto/watoto wako? Na kwann uwe selfish ivyo?

Nitakuwa sijawatendea haki, na zaidi utakuwa umeshaniharibia mipangilio ya maisha yangu! So, nitakumaindi sana usidhani kama naondoka kwa kupenda ila kwa mateso! Roho inauma maana unaniharibia reputation yangu kama baba! Lkn tufanyeje sasa?
 
...unajua mpaka watu wanaamua kuachana kaa ufahamukuwa wamejitahidi kila wawezavyo ila imeshindikana. Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea haya, moja ni changamoto za maisha, pia mda mwingine ni pressure toka kwa wazazi. Utakuta binti kajifungua na mshkaji amemchukua wanaishi wote ila bado wazazi wana-force wafunge ndoa bila kujua hayo ni mambo yao binafsi na ni vema waachwe waamue wenyewe. Sasa kinachotokea ni wazazi kutompa raha mwanaume, unatoka kwenye miangaiko unarudi home mwenzako analeta topics za ndoa hadi unachoka, ndo unakuwa wimbo wa taifa. Sasa kinachokuja kutokea ni mwanaume kuchoka sabu unajaribu kumweleza mwenzako ila hakuelewi so unaamua mpeane time kila mtu afanye mambo yake binti anarudi kwake na wewe unaendelea na maisha. Mambo haya nimeyaona na yamemtokea mtu wangu wa karibu sana ila naweza sema kwa asilimia kubwa wazazi walipoingilia walisababisha watu watengane. Wadada mnaweza kuja kunishambulia na kusema kwani angemuoa tu hivyo hivyo si wangeishi tu na kupanga mambo yao slowly? Na mimi nauliza mbona hampendi kutupa nafasi, mbn mnapenda kutuburuza na kufanya mambo haraka kwa speed muipendayo. Maana mara nyingi ndoa za dizain hii hazidumu. Hivyo dada gfsonwin, hatuwatelekezaji wake zetu wala watoto wetu wazuri ila mda mwingine mambo haya yakitokea ni vigumu sana kueleza na kueleweka.

siwez kukuelewa usemapo unatelekeza kwasabb ya hizo bhal blah afu ukasahu kbs kwamba kuna watoto wanaokutegemea wewe as baba na kwa kila kitu
 
nitakuwa sijawatendea haki, na zaidi utakuwa umeshaniharibia mipangilio ya maisha yangu! So, nitakumaindi sana usidhani kama naondoka kwa kupenda ila kwa mateso! Roho inauma maana unaniharibia reputation yangu kama baba! Lkn tufanyeje sasa?

ivi wewe hujaniaharibia mipangilio yangu as mama?
 
yaani hapa nakupa like 100 ivi wanaporuka viunzi sijui wanakuwa wanawaza watoto hatakua wakubwa hawa?


Wengi wanaamini mtoto akiwa mkubwa atamtafuta ila wanasahau wakinamama sikuhizi wanajiweza hata hivyo watoto wanaona wenzao wanavyofurahi na baba zao yeye hata hajui baba anafananaje, inauma sana sana, yaani kama mimi kila siku asubuhi nikiamka na usiku kabla ya kulala ningekuwa nakaa namlisha sumu mtoto kwamba baba yako anauwezo kuliko hata bahresa lakini hakujali, hii ningeifanya kama sala ya siku kiasi mtoto anakuwa na chuki forever hata nikifa asiyumbishwe.
 
Narudia tena kusema ndiyo. Unajua mwanamue anafanyiwa vitu vingi sana na mwanamke ili huyo mwanamke amshike huyo mwanaume. Wanaume wengine mpaka wanaendewa kwa waganga ili wasahau familia zao, na anayefanya haya yote ni huyo huyo anayeitwa mwanamke.
kwa iyo nyie haya yakiwakuta sabb ni uchawi sio?
ivi uko kulogwa wanawake huwa hawalogwi?
ivi je huwa hata huruma inakuwa hamna?
 
...unajua mpaka watu wanaamua kuachana kaa ufahamukuwa wamejitahidi kila wawezavyo ila imeshindikana. kuna sababu nyingi sana zinazopelekea haya, moja ni changamoto za maisha, pia mda mwingine ni pressure toka kwa wazazi. utakuta binti kajifungua na mshkaji amemchukua wanaishi wote ila bado wazazi wana-force wafunge ndoa bila kujua hayo ni mambo yao binafsi na ni vema waachwe waamue wenyewe. sasa kinachotokea ni wazazi kutompa raha mwanaume, unatoka kwenye miangaiko unarudi home mwenzako analeta topics za ndoa hadi unachoka, ndo unakuwa wimbo wa taifa. sasa kinachokuja kutokea ni mwanaume kuchoka sabu unajaribu kumweleza mwenzako ila hakuelewi so unaamua mpeane time kila mtu afanye mambo yake binti anarudi kwake na wewe unaendelea na maisha. mambo haya nimeyaona na yamemtokea mtu wangu wa karibu sana ila naweza sema kwa asilimia kubwa wazazi walipoingilia walisababisha watu watengane. wadada mnaweza kuja kunishambulia na kusema kwani angemuoa tu hivyo hivyo si wangeishi tu na kupanga mambo yao slowly? na mimi nauliza mbona hampendi kutupa nafasi, mbn mnapenda kutuburuza na kufanya mambo haraka kwa speed muipendayo. maana mara nyingi ndoa za dizain hii hazidumu. hivyo dada gfsonwin, hatuwatelekezaji wake zetu wala watoto wetu wazuri ila mda mwingine mambo haya yakitokea ni vigumu sana kueleza na kueleweka.
gfsonwin ukisoma huu ujumbe kwa utulivu utabaini kuwa maamuzi mengi wanaume wanayafikia kwa sababu ya makelele. Umetoka kwenye mishe huko unafika nyumba ku relax mara topic korofi inaanzishwa, guess what next! Kila mtu anachukua njia yake to cut the story short!

Wanaume wengi ni watu wa mikakati na mipango wanapenda sana maisha ya utulivu!
 
Last edited by a moderator:
Wengi wanaamini mtoto akiwa mkubwa atamtafuta ila wanasahau wakinamama sikuhizi wanajiweza hata hivyo watoto wanaona wenzao wanavyofurahi na baba zao yeye hata hajui baba anafananaje, inauma sana sana, yaani kama mimi kila siku asubuhi nikiamka na usiku kabla ya kulala ningekuwa nakaa namlisha sumu mtoto kwamba baba yako anauwezo kuliko hata bahresa lakini hakujali, hii ningeifanya kama sala ya siku kiasi mtoto anakuwa na chuki forever hata nikifa asiyumbishwe.
Uwii ila ukifanya hivyo bado pia utakuwa humtendei haki mtoto wako ujue
 
ivi wewe hujaniaharibia mipangilio yangu as mama?

Mara nyingi chanzo ni wewe, na ndo maana hata kuvumilia unaweza kuvumilia! Sema tunarudi kulekule kuwa ni incompatibility ya life challenges tu na pengine sio kwa makusudi yako!
 
kwa hili tunatia sana aibu, wengi tumelelewa na mama zetu.. thnx God napenda sana watoto toka mtoto naamini siwezi fanya hivyo.. aibu kwa wanaume wenzangu wenye tabia hizo
 
gfsonwin ukisoma huu ujumbe kwa utulivu utabaini kuwa maamuzi mengi wanaume wanayafikia kwa sababu ya makelele. Umetoka kwenye mishe huko unafika nyumba ku relax mara topic korofi inaanzishwa, guess what next! Kila mtu anachukua njia yake to cut the story short!

Wanaume wengi ni watu wa mikakati na mipango wanapenda sana maisha ya utulivu!
utulivu my foot
yaani kweli unaona haki kutesa watoto kwa kosa la mke? Kwann uimuadabishe aish kwa amani kwenye mipaka yako ili ulee wanao vzr?
 
Wengi wanaamini mtoto akiwa mkubwa atamtafuta ila wanasahau wakinamama sikuhizi wanajiweza hata hivyo watoto wanaona wenzao wanavyofurahi na baba zao yeye hata hajui baba anafananaje, inauma sana sana, yaani kama mimi kila siku asubuhi nikiamka na usiku kabla ya kulala ningekuwa nakaa namlisha sumu mtoto kwamba baba yako anauwezo kuliko hata bahresa lakini hakujali, hii ningeifanya kama sala ya siku kiasi mtoto anakuwa na chuki forever hata nikifa asiyumbishwe.

Haya sasa, unafikiri mpo mbali sana? Mpo humu humu gfsonwin. Sasa kwann umlishe mtoto sumu mbaya kiasi hicho, na akija kubaini ukweli baadaye maanake ipo siku baba yake ama jirani yako atampa full stori! Ama ipo siku naye ataolewa ama ataoa na atajionee mwenyewe! Uso wako utauificha wapi!

Wenzetu muwe makini jamani....biblia inasema mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe. Kwa nini hakusema mwanaume? Hiki ni kiashiria kuwa problems nyingi kwenye mahusiano huanzia kwa mwanamke!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom