gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
- Thread starter
- #141
hongera sana kama wewe u baba boradada mkubwa hata kama kosa ni kubwa kiasi cha kutosameheka sidhani kama ni sahihi kuacha familia. Mimi huwa nasema hata iweje sitaruhusu mwanangu aumie kwa sababu ya mwanamke. Nifanya kila kilicho katika uwezo wangu kuhakikisha wanangu wanakuwa katika hali nzuri. Na hii wapo wanaume wengi tu wanafanya.
mie namuombea sana mume wangu ili asibadilike kutoka apa alipo as ni mume bora sanaaaa
ila hawa wanaume baadhi wanachumisha dhambi wenzao hasa watoto na wake zao