gfsonwin
katika dunia kuna mambo mengi sana ya kuumiza japo yapo mazuri pia
usipotoa msaada inakuwa lawama hadi ukoo kama vile wanajua ulifikaje hapo ulipo........labda ikitokea kwa huruma ya mtu na mtu basi inabidi kusaidia kwa shingo upande maana wakati mwingine kuna kale ka damu kakuchangia kanakusukuma.
yaani unajua Mungu hutizama wewe unatakiwa kufanya nini na sio wewe ulifanyiwa nini.......kwa iyo ni wajibu wa mke kumtunza ata kama alikuacha miaka 30. Ila inaumiza sanaa
Tufafanulie upendo alionao mwanamke anayetoa mimba au kutupa kichanga.sista hili suala chimbuko lake ni asili (nature) zaidi kuliko uhalisia
Mama ana upendo zaidi kwa watoto kuliko baba, hapa simaanishi eti mimi sipendi watoto wangu, Noo, ila najua navyowapenda mimi mama yao anawapenda zaidi na zaidi
Hii ndo sababu kuu kwanini baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao
Mambo yote unayoyafanya epuka kufanya mambo ya kuifurahisha jamii huku wewe ukiteketea moyoni.kwa upande wangu naona sababu inaweza kuwa ugumu wa maisha yenyewe yaani mwanaume anaona kwamba hana uwezo wa kuendesha familia hivyo anaona bora aache akijipa matumaini huenda akaja mtu kuisaidia familia.pili mwanaume anaweza akawa na uwezo ila hataki kuwajibika tu kwa sababu hayuko tayari kuendesha familia au pengine mwanamke aliyenaye
hana uelewa wa sheria za kumbanaIkitokea sasa watoto wametoboa kimaisha na mwanaume hali si nzuri ndo huja yale mawazo ya kwenda kuomba msamaha maana hakuna apendaye maisha magumu lakini pia hata kijamii mtu hawezi kuwa tajiri halafu akamwacha babaye hivihivi jamii itamwona mbaya hata kama baba huyo alimtelekeza cha muhimu na kumsamehe
Kamchukue mtoto we fala,kwani akijiua inakuhusu nini?Chanzo cha hili tatizo ni wanawake wenyewe wala usiwalaumu wanaume. Mfano mimi mwenyewe nina mtoto nimezaa na dada mmoja hivi. Nimemuhudumia toka mimba hadi mtoto na nilikua nina mpango wa kuoa, lakini yaliyotokea sina hamu nayo. Tukafika point tukakubaliana kuangalia kweli nikawa nahudumia lakini mtoto akawa hali yake hainiridhishi. Mtoto akiwa na mwaka na nusu akapata kazi akasema hawezi enda na mtoto anamucha nikasema mlete kwangu. Akamleta nikampeleka humo akawa analelewa huko. Mtoto alibadilika akachangamka akanenepa akawa na afya kulingana na umri wake. Akaja mchukua likizo akaenda nae lakini nasikitika kagoma kumrudisha ili aanze shule zile za watoto. Inaniuma sana maana yule mwanamke atamtesa mtoto hana mapenzi na mtoto hata kidogo. Hasira zake zote anazipeleka kumkoromea mtoto. Yaani kanikatisha tamaa nikasema basi waendelee na maisha yao. Lengo langu ni kumjenga mtoto kielimu kipindi hichi nina uwezo lakini umimwambia hivyo anadai ukimchukua najiua