Wanaume tupewe nini?


Mkuu hao omba omba wenyewe wamehalalisha kabisaa....tena ni haki na wajib wa mwanaume kutimiza maombi yao....
 
Mkuu hao omba omba wenyewe wamehalalisha kabisaa....tena ni haki na wajib wa mwanaume kutimiza maombi yao....

Wapo wenye akili zao.....ombaomba unapiga unatupa kuleeeeeeeeee!
 

Hahahaha mwambie amuoe amuweke ndani ndiyo ataisoma namba vizuri, wanawake ni wazuri sana wa kuect mkanda wa video za namna hii mpaka basi
 
Hahahaha mwambie amuoe amuweke ndani ndiyo ataisoma namba vizuri, wanawake ni wazuri sana wa kuect mkanda wa video za namna hii mpaka basi

Ha haaa...mkuu sio picha hii...
 
Love anaishi wapi huyo rafiki yako? Au ni yupi? (Nauliza tuu)
Huyo mwanaume atakuwa ni mito..
 
Last edited by a moderator:
Love anaishi wapi huyo rafiki yako? Au ni yupi? (Nauliza tuu)
Huyo mwanaume atakuwa ni mito..

Ni jirani yetu hapa hapa, ila naomba nisikuambie jina lake.
mito asingemuacha...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mtoa mada hebu naomba usifanye makosa.Nitupie no.ya huyo malkia anaeteswa na huyo ---- asiejielewa (loser).Asap nakusubiri inbox
 
huyo rafiki yako amshukuru mungu kabisa kwani wanawake km hao tupo wachache sn akimuacha tu imekula kwake
 

Huyo jamaa atakuwa pimbi tu.Mi demu akiniskiliza tu baaasss! Mengine yote yatakuwa mazungumzo baada ya habari akiwa jeuri hatufiki popote.
 
Last edited by a moderator:
huyo rafiki yako amshukuru mungu kabisa kwani wanawake km hao tupo wachache sn akimuacha tu imekula kwake

Naomba nkupe "like" lizybert .Hakika utaishi maisha marefu sana mungu akubariki kwa kila jambo uendelee na moyo huohuo.Huyo jamaa atakuja kujuta aisee sio siri
 
Last edited by a moderator:
Naomba nkupe "like" lizybert .Hakika utaishi maisha marefu sana mungu akubariki kwa kila jambo uendelee na moyo huohuo.Huyo jamaa atakuja kujuta aisee sio siri

amina ahsante kwa barak zako nimezipokea ndg yang. unajua wanaume ht celew wakati mwingine najaribu kuwafikiria ht celewi wanataka nn..... cz wakichunwa lawam wacpochunwa matatizo.... hd leo hawajui kutofautish nani kimad na nan anafaa kuwa mke.... mungu awasaidie sn
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mtoa mada hebu naomba usifanye makosa.Nitupie no.ya huyo malkia anaeteswa na huyo ---- asiejielewa (loser).Asap nakusubiri inbox

Sawa mkuu ngoja nifanye mazungumzo naye,mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…