Wanaume tushikamane. Hawa wanawake watatuua watumalize. Nawe unapigwaje umetulia?

Wanaume tushikamane. Hawa wanawake watatuua watumalize. Nawe unapigwaje umetulia?

Alifanya hivyo kukuonya usijaribu tena mambo ya kwenye tamthilia ya wanawake kuwapiga makofi wanaune na wenyewe wanaangalia tu kama zombie. Mimi wangu nilimwambia kuwa sitampiga katika maisha yeti ya ndoa, lakini hii itakuwa tu kama hataleta ujinga ule wa kwenye tamthilia. Namshukuru Mungu sasa ni mwaka kumi na nane hata sijawahi kumpiga hata Kofi.
Sasa kakofi tu ndio anichekeche namna ile kweli?
 
Salaam Wakuu,

Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo?

Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai.

Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge.

Mkeo anakupiga marafiki zake wanashangilia😭
View attachment 2864594
Bila shaka huyu ni MK254
 
Salaam Wakuu,

Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo?

Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai.

Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge.

Mkeo anakupiga marafiki zake wanashangilia😭
View attachment 2864594
Mbona kama ni movie?
 
Back
Top Bottom