Wanaume tuwaheshimu sana wanawake walioamua kutuzalia na kutulia kwenye ndoa

Wanaume tuwaheshimu sana wanawake walioamua kutuzalia na kutulia kwenye ndoa

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Imagine huna hela huna lolote la maana ila kuna mwanamke kaamua uwe mume wake na kakuzalia watoto na hakuchit kamwe katulia kwenye ndoa na akitongozwa anawasemelezea kwako waliomtongoza.

Mwanamke kama huyu muheshimu sana akimlilia mungu wake KWA maboko unayomfanyia mungu atamjibu. Imagine una kichogo cha mkia wa jogoo na unapendwa!!!!!!
 
Imagine huna hela huna lolote la maana ila kuna mwanamke kaamua uwe mume wake na kakuzalia watoto na hakuchit kamwe katulia kwenye ndoa na akitongozwa anawasemelezea kwako waliomtongoza .mwanamke kama huyu muheshimu sana akimlilia mungu wake KWA maboko unayomfanyia mungu atamjibu. Imagine una kichogo cha mkia wa jogoo na unapendwa!!!!!!
aisee, kama umempata wa hivyo hongera sana.
 
Hata sielew umesema nn......Kwan c tulikubaliana tuishi nao tu Kwa mbususu purpose tu tusioe au
 
Back
Top Bottom