Wanaume tuwakubali tulio nao; wanawake wanatuibia sana mtandaoni

hawa wasanii kwa kweli hujakosea nilimuona dogo janja hugos pale da nilidhani ni kachalii ka njoro huko kamefanna naye. Kumbe ni muhusik mwenyew ni mdogo mpk nikajiuliza Irene Uwoya hkuona aibu kukaa kinyumba naye
 
Muumbe wako mwenye kimo unachokipenda,
Muache mke wa mwenyewe, ndoa yake ingali mbichi
Comparison ni lazima dunian hapa na bila unabe maisha hayaend...ndomana kuna mashindano ya urembo dunian..
 
hawa wasanii kwa kweli hujakosea nilimuona dogo janja hugos pale da nilidhani ni kachalii ka njoro huko kamefanna naye. Kumbe ni muhusik mwenyew ni mdogo mpk nikajiuliza Irene Uwoya hkuona aibu kukaa kinyumba naye
Hao kina mboso na rayvany live si utakimbia
 
Ukiona Nusu uchi mtaani,, ujue wameshindwa kuuza sura.

Mabaharia tunasema wanatumia Ujuzi katikati ya mapaja
 
Mkuu ni kweli kabisa. Hawa mademu wapo tofauti sana halafu ukikutana nao live hawana Confidence, Halafu wamechoka yaani hata Bure mm siwachukui. Haya mambo ya Filters na Mitandao imeleta Utapeli mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…