Wanaume tuwakubali tulio nao; wanawake wanatuibia sana mtandaoni

Wanaume tuwakubali tulio nao; wanawake wanatuibia sana mtandaoni

Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye instagrm she is veeeeery light skin.

Ila sasa huyu dada had naandika uzi huu asubuh leo mara ya 3 namwona yuko kwenye boda boda na ni maj ya kunde yupo kawaida kinoma noma..nataman nimpe lift sku1

Yaan huwez amin...nkasema dah hawa ma slay queen wa mtandaon..bora madem zetu hawa ambao tunaweza wachkulia poa ila kiukwel wako vzur sanaaa live

Huwa nakutana mara nying na wasanii na bongo muvu viwanja huko..sjui kina vanesa au zuchu au lulu ,amba lulu...etc...live hawako hvyo kama mtandaon...kabisa yan
Kwanza wafup kinoma..af wadogo wadogo..huyo gig sjui ma.tako huwa anayatoa wap insta..live hayuko vile.

Aisee leo imenifanya nimu apreciate sana demu wangu kuwa ni chuma kwel.

Uzi wa kijinga asubuh asubuh...holiday yangu inaisha kesho buana.

Uzi tayar

Insta unaweza kujiweka hadi shombe shombe na "KOTA" kama lote.
 
Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye instagrm she is veeeeery light skin.

Ila sasa huyu dada had naandika uzi huu asubuh leo mara ya 3 namwona yuko kwenye boda boda na ni maj ya kunde yupo kawaida kinoma noma..nataman nimpe lift sku1

Yaan huwez amin...nkasema dah hawa ma slay queen wa mtandaon..bora madem zetu hawa ambao tunaweza wachkulia poa ila kiukwel wako vzur sanaaa live

Huwa nakutana mara nying na wasanii na bongo muvu viwanja huko..sjui kina vanesa au zuchu au lulu ,amba lulu...etc...live hawako hvyo kama mtandaon...kabisa yan
Kwanza wafup kinoma..af wadogo wadogo..huyo gig sjui ma.tako huwa anayatoa wap insta..live hayuko vile.

Aisee leo imenifanya nimu apreciate sana demu wangu kuwa ni chuma kwel.

Uzi wa kijinga asubuh asubuh...holiday yangu inaisha kesho buana.

Uzi tayar

Hahahaaa... mkuu umenikumbusha niliwahi kuleta uzi humu kuuliza ni kwanini mastaa wetu wengi ni pipiro (wafupi) sikupata majibu ya msingi.

Kuhusu hili la wadada wa insta, mi narudia ujumbe wangu:

"USITONGOZE MWANAMKE AMBAE HUJAWAHI KUMUONA LIVE"

Utakuja kunishukuru.
 
Kama hawezi ndo aache kutoa kasoro viumbe wa Allah.
Nyie ndo wa kwanza kumtoa kasoro muumbaj kwa kuweka kope fake..nywele fake.kucha fake..rangi ya mwili mnachubua..maziwa fake na ma.tako fake

Mmemkosoa muumba saana..deal na hilo kwanza kabla ya kunisema mim
 
Nyie ndo wa kwanza kumtoa kasoro muumbaj kwa kuweka kope fake..nywele fake.kucha fake..rangi ya mwili mnachubua..maziwa fake na ma.tako fake

Mmemkosoa muumba saana..deal na hilo kwanza kabla ya kunisema mim
Sawa.
 
Mwanaume wa dar nakuona unaimba mipasho kuwasuta wanawake...

Just kidding...usiimbe taarab sio nzuri kwa mwanaume rijali
Taarab ni mziki wa mwambao wa Pwani, sijajua una maanisha nini kuhusu 'urijali',
Kwanini hua mna mitizamo ya kijinga sana?
 
Nilikutana na mtangazaji mmoja wa kike pale clouds fm,instagram yake kidogo inambeba,live sasa nilitaka nijifiche chini ya meza.

Kwanini upendeze IG huku ukijua uzuri huo unaojiedit hauna?,si kujishushia tu confidence unapokutana na watu live?
 
Back
Top Bottom