Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Mwanaume wa dar nakuona unaimba mipasho kuwasuta wanawake...wape wape vidonge vyao, wakishindwa wakitema, iyo shauri yao
Just kidding...usiimbe taarab sio nzuri kwa mwanaume rijali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume wa dar nakuona unaimba mipasho kuwasuta wanawake...wape wape vidonge vyao, wakishindwa wakitema, iyo shauri yao
umejuaje ni taarab ?Mwanaume wa dar nakuona unaimba mipasho kuwasuta wanawake...
Just kidding...usiimbe taarab sio nzuri kwa mwanaume rijali
Ni taarabu ya zamani hiyo..nlikua naiimba naijuaumejuaje ni taarab ?
Na mipua yake ile kama anapuliza motoVipi Qeen Darlin yupoje live!?
Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye instagrm she is veeeeery light skin.
Ila sasa huyu dada had naandika uzi huu asubuh leo mara ya 3 namwona yuko kwenye boda boda na ni maj ya kunde yupo kawaida kinoma noma..nataman nimpe lift sku1
Yaan huwez amin...nkasema dah hawa ma slay queen wa mtandaon..bora madem zetu hawa ambao tunaweza wachkulia poa ila kiukwel wako vzur sanaaa live
Huwa nakutana mara nying na wasanii na bongo muvu viwanja huko..sjui kina vanesa au zuchu au lulu ,amba lulu...etc...live hawako hvyo kama mtandaon...kabisa yan
Kwanza wafup kinoma..af wadogo wadogo..huyo gig sjui ma.tako huwa anayatoa wap insta..live hayuko vile.
Aisee leo imenifanya nimu apreciate sana demu wangu kuwa ni chuma kwel.
Uzi wa kijinga asubuh asubuh...holiday yangu inaisha kesho buana.
Uzi tayar
hmm may be, but ipo kwenye lyrics ya ngoma ya OTenNi taarabu ya zamani hiyo..nlikua naiimba naijua
Labda aliweka kionjo huyo...ni chorus ya taarab za enzi zile ilibambahmm may be, but ipo kwenye lyrics ya ngoma ya OTen
Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye instagrm she is veeeeery light skin.
Ila sasa huyu dada had naandika uzi huu asubuh leo mara ya 3 namwona yuko kwenye boda boda na ni maj ya kunde yupo kawaida kinoma noma..nataman nimpe lift sku1
Yaan huwez amin...nkasema dah hawa ma slay queen wa mtandaon..bora madem zetu hawa ambao tunaweza wachkulia poa ila kiukwel wako vzur sanaaa live
Huwa nakutana mara nying na wasanii na bongo muvu viwanja huko..sjui kina vanesa au zuchu au lulu ,amba lulu...etc...live hawako hvyo kama mtandaon...kabisa yan
Kwanza wafup kinoma..af wadogo wadogo..huyo gig sjui ma.tako huwa anayatoa wap insta..live hayuko vile.
Aisee leo imenifanya nimu apreciate sana demu wangu kuwa ni chuma kwel.
Uzi wa kijinga asubuh asubuh...holiday yangu inaisha kesho buana.
Uzi tayar
okay, we ni mzenji ?Labda aliweka kionjo huyo...ni chorus ya taarab za enzi zile ilibamba
Hapana.ni mbaraokay, we ni mzenji ?
okay sawaHapana.ni mbara
Nyie ndo wa kwanza kumtoa kasoro muumbaj kwa kuweka kope fake..nywele fake.kucha fake..rangi ya mwili mnachubua..maziwa fake na ma.tako fakeKama hawezi ndo aache kutoa kasoro viumbe wa Allah.
Sawa.Nyie ndo wa kwanza kumtoa kasoro muumbaj kwa kuweka kope fake..nywele fake.kucha fake..rangi ya mwili mnachubua..maziwa fake na ma.tako fake
Mmemkosoa muumba saana..deal na hilo kwanza kabla ya kunisema mim
Taarab ni mziki wa mwambao wa Pwani, sijajua una maanisha nini kuhusu 'urijali',Mwanaume wa dar nakuona unaimba mipasho kuwasuta wanawake...
Just kidding...usiimbe taarab sio nzuri kwa mwanaume rijali
Njoro!? Dah umenikumbusha warangi wa Kitetohawa wasanii kwa kweli hujakosea nilimuona dogo janja hugos pale da nilidhani ni kachalii ka njoro huko kamefanna naye. Kumbe ni muhusik mwenyew ni mdogo mpk nikajiuliza Irene Uwoya hkuona aibu kukaa kinyumba naye
Ila mkuu una dharau weweTatzo kimo..