Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Whoooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
First born una roho ngumu namna hiyo!???
Embu mpikie mtoto mziwanda jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
@Saint Anne ni Last Born basi anadeka huyo balaa... sa' nikadhani na wewe ni LB kama yeye!!
Hahaha
Yeye amebaki humu kwa sababu za comments zangu za majadiliano huko juu.

Hii la u1st born na uziwanda anaishangaa,haijui maana sisi tumetoka nayo kuleee
 
K kuna kitu nakifanyia utafiti kikikamilika nitaleta uzi. Kwa namna Fulani mleta uzi Yuko sahihi na upande mwingine hayuko sahihi.
 
Hakuna kitu wanawake wanachoogopa kama namba (za umri)[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maishaa bongoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtoa mada alikuwa na nia njema sema ameileta kichochezi alafu alivyoshambuliwa huko mbele ndo akavuruga zaidi.
Mechi ikawa ngumu mpaka akaikimbia mada.
Nimependa jeshi la wanawake lilivyosimama imara kufanya mashambulizi ya uso kwa uso
Hopeful hatarudia tena
 
Sijaumizwa na yeyote ila naona tabu wanazo pitia dada zetu pindi umri wao unapikaribia na 30.
Ukienda ukamwambia nakumega halafu nakuacha atakutukanaa

Wanakuaga na hasira wakiamini wamelogwa ila ukamwambia unamuoa atakupa kila kitu
Hahahahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio hasira tu, bali huwa na visirani.
 
Whoooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
First born una roho ngumu namna hiyo!???
Embu mpikie mtoto mziwanda jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unasemaje wewe?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetushikia bango ma last born.
Mimi ni last born nisiyedeka[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…