Una umari mdogo nahujaona Bado..Unadhani kumaliza Chuo na hiyo pass yako. Basi unajua KILA kitu na unaweza kufanya tathmini yakutosha.Mwanamke yeyote mzuri anaolewa mapema. Labda kama awe na tatizo au shida fulani.
Tunajua kabisa mpaka kufika 27+ si chini ya mahusiano 5 umesha yapitia. Unategemea nini hapo.
Mpaka hapo ushajionesha Wewe Ni mwanaume suruali..huwezi kujitafutia vya kwako..unapenda kitonga... Unataka utongoze huyo bank teller ili akugawie kahela kake...nawe uvimbe kitaaa...Sawa sina hela ila nikimwambia nataka kumuoa atakubali na hela yake nakula. [emoji846][emoji846][emoji846]
Nimekuuliza shoga maana yake nini hujanijibuUnaona raha kumuita mtoto wa mwanamke mwenzako shoga.
Sija kutusi kwa lolote wala kukudharau lakini cha ajabu unafurahia.
What comes around goes around. Sikujui na wala sihitaji unijue.
Kizazi si unacho mama basi wacha tuone.
Hahahahahaha....Kaka alimtaja Mama ako alokuzaa na Akili ya kushindwa kupembua mambo Nani...MTOTO HASATA WEWE BORA ANGEKUTUPA CHOONI ..ptuuChoko babako na mamako na ukoo wenu mzima
Hiyo connection utaisubiria mpaka...HUWEZI KUWAZA NJE YA BOX.Connection muhimu
Unatakiwa usake pesa ukiwa na mume wako kwenye ndoa ndo utapendeza, mambo za Lusaka maisha ndo uje uolewe utajikuta unaolewa na yeyote yule ambaye ni mwanaume. Ni ushauri tu siyo sharia.Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.
Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.
Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?
Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
Nnae mmoja hapa yaan huwa nakereka kuna mda nataman had kumfumua mingumiBasi bora, manake hawa viumbe ni pasua kichwa! Tangu back in the days niwe na mmoja wao, ambae eti wakati mwingine alikuwa ananuna makusudi na bila sababu eti aone kama nitambembeleza basi hata hamu!!
Sema uzuri wa Saint Anne yeye anadai huwa ananuna huku akitimiza majukumu!
Mtoa mada alikuwa na nia njema sema ameileta kichochezi alafu alivyoshambuliwa huko mbele ndo akavuruga zaidi.
Mechi ikawa ngumu mpaka akaikimbia mada.
Nimependa jeshi la wanawake lilivyosimama imara kufanya mashambulizi ya uso kwa uso
Hopeful hatarudia tena
Nadhan tunatofautiana, mimi nina 28yrs na huwa sioni tabu kutaja umri wangu popote pale.Ukitaka kugombana na mwanamke muulize ana umri gani[emoji23][emoji23]
Tena Ikatokea huyo Ke akawa >27yrs,, hakika utapiata[emoji1787]
Amen God Is Good.Nadhan tunatofautiana, mimi nina 28yrs na huwa sioni tabu kutaja umri wangu popote pale.
Babako na mamako na ukoo wenu mzima.Hahahahahaha....Kaka alimtaja Mama ako alokuzaa na Akili ya kushindwa kupembua mambo Nani...MTOTO HASATA WEWE BORA ANGEKUTUPA CHOONI ..ptuu
[emoji23][emoji23]Pole sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nnae mmoja hapa yaan huwa nakereka kuna mda nataman had kumfumua mingumi
Napataga moto sana basi tu huwa nanyamaza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja namuona hapa kwa jirani yangu anavyojing'ang'aniza kwa jamaa. Yaani anakuja anatom..ka alafu jamaa anamfukuza kama mbwa kwa sauti ya juu.Pia kaa mbali na mwanamke ambae aliolewa kisha akaachana na mmewe, tena awe kwenye 30-45.
Usicheze kabisa na hisia zake, akikupenda amekupenda kweli.
Ndoa ni kitu kingine kabisa kwa hii jinsia aiseee.
Ok nitali handle hlo...naachana na vi"jeans mkuu[emoji39]Wa 27 wala hawana mambo mengi ila sharti uwe na muonekana. Wao wanajua kupick na una suit kuwa nao, they will come for you