Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

[emoji23][emoji23]Cariha wachana nao hawa, umri nini bwana. Kila mtu aishi atakavyo, si ndio? Mimi nimesema 28+ ndio ugonjwa wangu, bahati mbaya hujafika huko, ningeshawahi piemuni mwako nitete na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
My kaka naelekea kwenye uhenga aka uveterani huko loh ama kweli siku hazigandi
 
hatuzeeki, ndio Mana Kuna mabibi na mabwana hakuna mabibi na mababu
Hahahaha...acha kujifariji Wewe....Tena Wewe ndo utazeeka vibaya miaka 35 TU kisukari hichi hapa..unapiga goli Moja kwa shida...
 
Kudadeki cariha katka ubora wako. Umekuja na nongwa zako, natamani siku nikuone ukoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…