Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ni nzuri Sana[emoji1787][emoji23]ndo vizuri usiwaite kwasababu chambalaization is not good for health
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri Sana[emoji1787][emoji23]ndo vizuri usiwaite kwasababu chambalaization is not good for health
Mno [emoji110][emoji847][emoji12][emoji2098][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hicho cheo kinamfaa kabisa
Haya Mtakatifu Anne!!Mimi kaka nachangamsha tu mdomo kupeleka siku mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa na free time Sana Leo[emoji1787]
Hahahahaa😂😂Nitaitoa kwa mahari
Pole sana,Hata ningeitoa bado usingeweza kuinunua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mpiga ramli uchwara Sina shida yoyote mimiUna shida tayari nimeiona jirekebishe tu
Sawa brother.Haya Mtakatifu Anne!!
Mahari yako shilingi ngapi au una thamani ya mbuzi wangapi ?Nitaitoa kwa mahari
Pole sana,Hata ningeitoa bado usingeweza kuinunua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I'm 50 and I'm proudDoubtlessly you are 27+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitajuaje yaliyomo yamoNitoe kwenye hilo kundi mdogo wangu, yaani 35 tu chali, kweli?[emoji39][emoji39][emoji23]
Na kibunda kiwe kimenona sio kimedoda hamna hela ujue hupati kituSio kuchamba tu , wanajua hata kudanga , kama uamini andaa kibunda chako halafu mcheki Cariha
My kaka naelekea kwenye uhenga aka uveterani huko loh ama kweli siku hazigandi[emoji23][emoji23]Cariha wachana nao hawa, umri nini bwana. Kila mtu aishi atakavyo, si ndio? Mimi nimesema 28+ ndio ugonjwa wangu, bahati mbaya hujafika huko, ningeshawahi piemuni mwako nitete na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe Mimi hata kwa mizinga ya ikulu silindikiNaunga mkono hoja zote zilizoletwa kwenye uzi huu hususani zile zenye lengo la kuwalinda wadogo zetu kama Cariha na wengineo dhidi ya mafisi
Jeuri ya kutoa hunaMahari yako shilingi ngapi au una thamani ya mbuzi wangapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akalinde wadogo zake kwao[emoji23][emoji23][emoji23]wewe Mimi hata kwa mizinga ya ikulu silindiki
Hahahaha...acha kujifariji Wewe....Tena Wewe ndo utazeeka vibaya miaka 35 TU kisukari hichi hapa..unapiga goli Moja kwa shida...hatuzeeki, ndio Mana Kuna mabibi na mabwana hakuna mabibi na mababu
Kudadeki cariha katka ubora wako. Umekuja na nongwa zako, natamani siku nikuone ukojeWewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko