Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Kila mtu ana interests zake kwenye haya maisha.
Unachokiona wewe kuwa cha muhimu hakiwezi kuwa vilevile kwa mwingine.

Mimi kudili na mambo niliyoyachagua haimaniishi kwamba hayana faida.

Hivi kwanini umeelezea ndoa kwa upande mmoja tu? Binafsi natambua umuhimu wa ndoa ni kwa faida ya malezi ya watoto basi! Hayo mengine ni maigizo.....ukianza kuorodhesha changamoto za ndoa utamaliza leo?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nawaangalia tu jinsi wanavyohangaika na kujipa moyo[emoji14]

Akhsante sana kaka,nigroup tu kwenye watoto wako[emoji23]
Malezi yangu utayaweza lakini? Maana wanangu ni geti kali, muulize Heaven sent na Zoë. You're officially my third born.
 
Malezi yangu utayaweza lakini? Maana wanangu ni geti kali, muulize Heaven sent na Zoë. You're officially my third born.
Yaani huko Sasa kutanifaa sana.
Huku uswahilini bahati mbaya tu[emoji1787]

Napenda kukaa ndani mimi hadi hapa nyumbani walishaanza kunisimanga kuwa sitoki hata uwanjani kuotea jua.
 
Kwani wewe una umri gani mpenzi?
 
Okay sawa Mkuu
 
Hyo wa nigeria sio dada ni dume kama wewe sema kahamia upande wa Ke, chunga sana na Epuka.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
mbona povu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].jiwe gizani naona unapiga kelele.mtoa mada kasema kama huna mpango wa kuoa usidate na binti mwenye 27+.kwa mfano unadate nae kwa miaka 4 then unamuacha hapo utakuwa umempotezea muda.mtoa maada katoa ushauri kuwa wanaume wasiwaumize wanawake wewe unalalamika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…