Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mama yangu,ukisikia kurusha jiwe gizani ndio huku.Sasa...Wewe hii jeuri na dhalau zako zinamwisho ..KWAKUWA unajifanya Wewe Ni forever Young... Hizo mbooo zinasimama wima saiv TU...baadae Tena Sio mbali utaishia hospital na kwa waganga kurudisha nguvu..
Yani kahangaika povu wewe sasa personal matter za nini humu, lengo ni change id aisee pole yake I'm here to stay kwa kweli yeye mwenyewe maneno machache kashindwa andikaHajitambui
Yeye mbona ameshindwa kuandika hiyo anayoita English cheap?[emoji1787]
Watu wana stress sana
Kweli watu wana stress kaliWatu wana stress zisizo za kawaida. Cha muhimu uhai
Mshamba tuYani kahangaika povu wewe sasa personal matter za nini humu, lengo ni change id aisee pole yake I'm here to stay kwa kweli yeye mwenyewe maneno machache kashindwa andika
[emoji23]Sasa...Wewe hii jeuri na dhalau zako zinamwisho ..KWAKUWA unajifanya Wewe Ni forever Young... Hizo mbooo zinasimama wima saiv TU...baadae Tena Sio mbali utaishia hospital na kwa waganga kurudisha nguvu..
Wa moto mno[emoji23]Aiseee
Uzi wa moto huu
Si muweni kama Miss Renee yuko simple na Hana makuu alafu tabia nzuri ha gossip wala hachambi ye hu smile tu[emoji23]
Humu mimi ni msomaji zaidiSi muweni kama Miss Renee yuko simple na Hana makuu alafu tabia nzuri ha gossip wala hachambi ye hu smile tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Yeah it indicates that ur a good lady who doesn't like arguments[emoji6]Humu mimi ni msomaji zaidi
Just a tipKweli watu wana stress kali
Mambo ya picha sijui yameingizwaje humu
Ni ushamba wa kiwango Cha juu na utahira piaJust a tip
Nawaza hapa jinsi ambavyo mimi na wewe huwa tunabishana, then out of blue napost picha yako.
Kwanza nitafeel so down.
Watu wameishiwa hoja[emoji1787]Wa moto mno[emoji23]
Inawezekana usiwe ushamba as such but ikawa mental problem.Ni ushamba wa kiwango Cha juu na utahira pia
Unayetoka na screpa na wewe ni screpa pia.Huwa nayaita ma screpa au matandam
Ujana wako uliko na mwengine halafu uzee wako uje kwangu
Ni mwendo wa Ku hit and run
HakikaInawezekana usiwe ushamba as such but ikawa mental problem.
Asante mamaUmeumizwa tu wewe sasa swala la umri ni kitu chakujadili kweli maana kiumbe kilichozaliwa kuongezeka miaka ni kawaida Sana, wanaume maisha yakiwashinda huko mnakuja huku kukashifu na hyo bado haiwaondolei stress plus depression daily kulia Lia humu kuhusu wanawake, msitufokee na mapungufu yenu tafadhali
Ni njia Nyingine of winning as long as Mnabishana tena kwa nyodo na matusiJust a tip
Nawaza hapa jinsi ambavyo mimi na wewe huwa tunabishana, then out of blue napost picha yako.
Kwanza nitafeel so down.
Ila wanawake kuanzia 30+ wana taste fulani nzuri sana kwenye mapenzi, i real fall for their type.Naona sasa mmetoka kwa ma single mama mmeamia kwenye umri!mnatutaka nini jaman