Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Hajitambui

Yeye mbona ameshindwa kuandika hiyo anayoita English cheap?[emoji1787]
Watu wana stress sana
Yani kahangaika povu wewe sasa personal matter za nini humu, lengo ni change id aisee pole yake I'm here to stay kwa kweli yeye mwenyewe maneno machache kashindwa andika
 
Yani kahangaika povu wewe sasa personal matter za nini humu, lengo ni change id aisee pole yake I'm here to stay kwa kweli yeye mwenyewe maneno machache kashindwa andika
Mshamba tu
Abishane kwa hoja

Mimi nikategemea ataandika hiyo English nzuri baada ya kuikosoa yako.
Ngoja labda atakuja kuandika ili tuone na yake[emoji1787]
 
Umeumizwa tu wewe sasa swala la umri ni kitu chakujadili kweli maana kiumbe kilichozaliwa kuongezeka miaka ni kawaida Sana, wanaume maisha yakiwashinda huko mnakuja huku kukashifu na hyo bado haiwaondolei stress plus depression daily kulia Lia humu kuhusu wanawake, msitufokee na mapungufu yenu tafadhali
Asante mama
 
Back
Top Bottom