cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa ukute Hana hela ya kula Leo kakimbilia JF kuanzisha madaUkimaliza kucheka jipige kifuani huku ukisema"Mimi ni mpumbavu"[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa ukute Hana hela ya kula Leo kakimbilia JF kuanzisha madaUkimaliza kucheka jipige kifuani huku ukisema"Mimi ni mpumbavu"[emoji1787]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] seriouslyMtoa mada ni mtoto mdogo asiye na akili
Na utakapoenda huko unaswe na upigwe mvua ya miaka 30 ukaolewe lupango.Habari ya mjini ni 2000s kids, wa 90 [emoji1787][emoji1787] daah
Wana hasira kali kuliko mabashiru ya maccmHiki kikao chetu pendwa cha wanaume kinakuja kuvurugwa na wadada wa above 27+ sasa hivi!Mark my words
Ana akili ya kuvukia barabara huyuMtoa mada ni mtoto mdogo asiye na akili
Anataka tu tuchangie ili thread yake ijae comment naye aonekane mwamba[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa ukute Hana hela ya kula Leo kakimbilia JF kuanzisha mada
You are contradicting yourself.Nenda TRA au bank za NMB au CRDB utakutana na watoto wa kishua kibao.
Mtoto wa kishua sio mpaka awe na masters. Alafu watoto wa kishua sio wote wana mind kusoma sana.
Degree yake ina mtosha.
Watoto wa kishua wengi wanadate na vijana ambao sio type yao wengine hadi dereva bodaboda.
Kwahyo akikuona una nionekane na unasomeka na ukamletea stori za ndoa.
My friend you are in for it
Stress sio poa, kama huyo Cariha nina uhakika umri umeendaaa sana halafu namba hazisomiInaonekana angekuwa karibu mngemzaba vibao [emoji23][emoji23]
Tena ni mpumbavu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] seriously
KisaUkimaliza kucheka jipige kifuani huku ukisema"Mimi ni mpumbavu"[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Huyu wakumpuuza anataka umaarufu na nada yake ushubwada mtupuAnataka tu tuchangie ili thread yake ijae comment naye aonekane mwamba[emoji1787]
Huyu kumtunuku akili za kuvukia barabara umempendelea Sana.Ana akili ya kuvukia barabara huyu
Mbona Mimi huku shasema ni old woman, single mother of 3 kid's na nakaribia 50s so hyo ya kutosoma mtazamo wakoStress sio poa, kama huyo Cariha nina uhakika umri umeendaaa sana halafu namba hazisomi
[emoji23][emoji23]Huyu kumtuku akili za kuvukia barabara umempendelea Sana.
Fresh from chuo kuja kufanya kazi bank una anzia wapi kama sio teller then later una hama vitengo.Hivi kweli unarudia kusema bank teller ni wanawake wa kishua.
Ushua umeshuka hadhi saana. Hata hapa Vingunguti hatuna watoto wa kishua ila hatujafikia kuwaita tellers wa kishua.
Haya dogo nenda kwa Rungwe ukale ubwabwa upunguze njaa
Yaani mtoa mada unasema.
Tukiwachukua wanawake wote ambao hawajaolewa wenye umri wa miaka 27+ basi wengi wao watakuwa watoto wa kishua.
Hivi ndivyo unavyoandika mkuu.
Hiki ndicho unachoandika kama hauelewi.Fresh from chuo kuja kufanya kazi bank una anzia wapi kama sio teller then later una hama vitengo.
WhateverYou are contradicting yourself.
Na pia there is some malice in your tone.