Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Nenda TRA au bank za NMB au CRDB utakutana na watoto wa kishua kibao.
Mtoto wa kishua sio mpaka awe na masters. Alafu watoto wa kishua sio wote wana mind kusoma sana.
Degree yake ina mtosha.
Watoto wa kishua wengi wanadate na vijana ambao sio type yao wengine hadi dereva bodaboda.
Kwahyo akikuona una nionekane na unasomeka na ukamletea stori za ndoa.
My friend you are in for it
You are contradicting yourself.

Na pia there is some malice in your tone.
 
Ukimaliza kucheka jipige kifuani huku ukisema"Mimi ni mpumbavu"[emoji1787]
Kisa
IMG-20200914-WA0002.jpg
 
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hivi kweli unarudia kusema bank teller ni wanawake wa kishua.

Ushua umeshuka hadhi saana. Hata hapa Vingunguti hatuna watoto wa kishua ila hatujafikia kuwaita tellers wa kishua.
Fresh from chuo kuja kufanya kazi bank una anzia wapi kama sio teller then later una hama vitengo.
 
Yaani mtoa mada unasema.

Tukiwachukua wanawake wote ambao hawajaolewa wenye umri wa miaka 27+ basi wengi wao watakuwa watoto wa kishua.

Hivi ndivyo unavyoandika mkuu.
 
Yaani mtoa mada unasema.

Tukiwachukua wanawake wote ambao hawajaolewa wenye umri wa miaka 27+ basi wengi wao watakuwa watoto wa kishua.

Hivi ndivyo unavyoandika mkuu.
Fresh from chuo kuja kufanya kazi bank una anzia wapi kama sio teller then later una hama vitengo.
Hiki ndicho unachoandika kama hauelewi.
 
Back
Top Bottom