Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Apambane na hali yake.Mwenzio kapanic huko juu umemwita shoga. Punguza maneno yenye ukakasi hata kama hukumaanisha ambacho wanaume wengi tunachukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apambane na hali yake.Mwenzio kapanic huko juu umemwita shoga. Punguza maneno yenye ukakasi hata kama hukumaanisha ambacho wanaume wengi tunachukia.
Ukiona mtu anashindwa kujibu kwa hoja basi tambua kabisa umemshinda.Hujanilipia ada shuleni tafadhali hicho kiingereza chako cha kuunga usinichoshe nacho.
Bado nasubiri unionyeshe hilo tusi
Spana gani nzito amepiga hapo?Sam unapiga spana nzito nzito hadi nawaonea huruma hao madada
Hakuna ukweli wowote. Post kama hizi zina gusa ukweli wa maisha ya watu ndo maana watu wanakimbilia kuattack mtu ili kumdhohofishaKuna ukweli kabisa
SawaHakuna ukweli wowote. Post kama hizi zina gusa ukweli wa maisha ya watu ndo maana watu wanakimbilia kuattack mtu ili kumdhohofisha
Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.Tusi liko wapi hapo?
Uliyeshindwa ni wewe uliyeshindwa kujibu hoja nimeenda juu kutafuta comments ulizoandika nikakuquote kukuonyesha usiwe msahaulifu,badala ya kushukuru kwa kukukumbusha ukaishia tu kusema ninekukumbusha utopolo.Ukiona mtu anashindwa kujibu kwa hoja basi tambua kabisa umemshinda.
Tena ana anza kujibu matusi mara mpumbavu, hana akili mara shoja. Hapo umemshinda mara dufu
Sawa baba mpiga ramli[emoji1787][emoji1787]Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.
Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.Tusi liko wapi hapo?
Nani shogaUliyeshindwa ni wewe uliyeshindwa kujibu hoja nimeenda juu kutafuta comments ulizoandika nikakuquote kukuonyesha usiwe msahaulifu,badala ya kushukuru kwa kukukumbusha ukaishia tu kusema ninekukumbusha utopolo.
Hapo ndipo ulipohama,na Mimi ninaenda kulingana na jinsi unavyoenda.
Ukitaka mtu akujibu kwa hoja basi jifunze kujibu kwa hoja
Bado nasubiri uniambie tusi lilipo
AiseeeMbona nilishakwambia unayeteseka ni wewe shoga[emoji4]
Pole Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.
Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.Tusi liko wapi hapo?
Mimi nimemaanisha rafiki.Aiseee
Mbona umebadirika hivi !?
Yani Wewe Ndio wa kumtukana mtu tusi Hilo !?
Hapo Mwanzo hukua hivyo Wameshakuharibu humu
Mtake radhi kuwa Muungwana Acha kiburi
Shoga maana yake Nini?Nani shoga
Kwa hiyo unataka kuniambia nini??[emoji3][emoji3]
Mkuu nawashangaa mnawapiga vita hawa wadada...kisha mnajikimbiza PM kutongoza.
Mnadhani ni wajinga wawakubali?
Wewe si tumekubaliana niokoke then tunalimaliza hili swala.Sawa
Unatutag saa ngapi?
Naisubiri tag yako kwa hamu ili nireply
Inanihusu maana na mimi ni 27+[emoji4]Wewe si tumekubaliana niokoke then tunalimaliza hili swala.
Hii mada haitokuhusu.
Hao ndio wenye soko kwa sasa 2000s[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unaenda kuokota Wastaafu Daah
Kuna mtu huko juu alisema sahivi Mpango Ni watoto wa 2000's.