Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Ukiona mtu anashindwa kujibu kwa hoja basi tambua kabisa umemshinda.
Tena ana anza kujibu matusi mara mpumbavu, hana akili mara shoja. Hapo umemshinda mara dufu
Uliyeshindwa ni wewe uliyeshindwa kujibu hoja nimeenda juu kutafuta comments ulizoandika nikakuquote kukuonyesha usiwe msahaulifu,badala ya kushukuru kwa kukukumbusha ukaishia tu kusema ninekukumbusha utopolo.

Hapo ndipo ulipohama,na Mimi ninaenda kulingana na jinsi unavyoenda.
Ukitaka mtu akujibu kwa hoja basi jifunze kujibu kwa hoja

Bado nasubiri uniambie tusi lilipo
 
Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.
Sawa baba mpiga ramli[emoji1787][emoji1787]
Endelea kupiga ramli zako.

Kama wewe ni mzinzi usidhani kila mtu ni mzinzi
 
Uliyeshindwa ni wewe uliyeshindwa kujibu hoja nimeenda juu kutafuta comments ulizoandika nikakuquote kukuonyesha usiwe msahaulifu,badala ya kushukuru kwa kukukumbusha ukaishia tu kusema ninekukumbusha utopolo.

Hapo ndipo ulipohama,na Mimi ninaenda kulingana na jinsi unavyoenda.
Ukitaka mtu akujibu kwa hoja basi jifunze kujibu kwa hoja

Bado nasubiri uniambie tusi lilipo
Nani shoga
 
Last time I checked ulikuwa haujafika miaka 27 ili kwa jinsi ulivyocharuka kwenye huu uzi, naanza kupata mashaka huenda mwili wako unasoma kilomita nyingi, sema wembamba unakulinda.
Pole Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kupiga ramli hujui kabisa
Na ramli zako zote unaenda Op
Hata hiyo ya Oktoba 28 nayo ni Chaka tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aiseee
Mbona umebadirika hivi !?
Yani Wewe Ndio wa kumtukana mtu tusi Hilo !?
Hapo Mwanzo hukua hivyo Wameshakuharibu humu

Mtake radhi kuwa Muungwana Acha kiburi
Mimi nimemaanisha rafiki.
Wewe umechukuliaje???
Au kuna maana nyingine ambayo Mimi siijui?? niambie nakusikiliza.
 
[emoji3][emoji3]

Mkuu nawashangaa mnawapiga vita hawa wadada...kisha mnajikimbiza PM kutongoza.

Mnadhani ni wajinga wawakubali?
Kwa hiyo unataka kuniambia nini??

Kama umechangia huu uzi halafu ukasahau siku ukijichanganya ukaingia PM utakachokutana nacho sijui

We jamaa fundi, umejua kutengeneza mfereji wa kutiririsha maji hata kama wengine walisema ni mlima[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unaenda kuokota Wastaafu Daah

Kuna mtu huko juu alisema sahivi Mpango Ni watoto wa 2000's.
Hao ndio wenye soko kwa sasa 2000s
Issue ni hawa walianza kuzeeka, wanawaonea wivu hao 2000's ndio maana utasikia eti acha kutembea na watoto wadogo...
Kumbe wanakwepa ushindani.
 
Back
Top Bottom