Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Sio povu lazima tuwaambie ukweli mzibuke akili zenu kichwani, ujue wanaume wasio na mbele na nyuma ndio huhangaika na wanawake ili wajifariji mioyoni mwao badala ya kutafta maisha.
Kuna dada ni blog maarufu na nigeria ana hela zawadi kajipa range rover chakushangaza wanaume wasio na mbele Wala nyuma hata bicycle hawana wakawa Wana mshambulia na kumtusi. So kwa Africa wanaume wamepoteza uanaume wao asilimia zote
Hata angemiliki dunia lazima alazwe kibla na asulubishwe so bado kidume ni muhimu kuliko hizo range na zawadi nono anazojigawia

Msishindane na ukweli
 
Hata angemiliki dunia lazima alazwe kibla na asulubishwe so bado kidume ni muhimu kuliko hizo range na zawadi nono anazojigawia

Msishindane na ukweli
Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
 
Usijifariji mkifika 35 nguvu za kiume zinaisha vijana tu wa 30 majogoo yao hayapandi mitungi sembuse huo umri mnatumia viagra
LIFE STYLE! Ndiyo inayobadili sifa za mwanaume.
Kama mtu ni mlevi, mzembe physically, hali milo mizuri, anakesha na porn na kujichua, huyo hahitaji kufikisha 30 ili apunguze nguvu za kiume.

Lakini kama mwanaume anakula vizuri vyakula vyenye virutubisho vyote, hatumii vilevi wala uvutaji, si mapenzi wa porn na kujichua, anafanya mazoezi ya mwili na kupumzika vizuri nk, huyo hata akiwa na miaka 60 bado atakuwa na ile performance ya ujanani.
 
Tunaoa ni sisi wanaume shida ni moja kwa wanaume kuoa watoto wa kishua. Kwanza wanakuwa wamekuzidi kipato, kazi nzuri. Na hata hivo mda wa wewe kuonana nao uko wapi mara nyingi wanakuwa wapo kazini ili umpate lazima na wewe uwe kwenye circle yake ya kazi au nyumbani.
Naongelea mtoto wa geti kali akirudi ndani, akitoka kazini. Weekend anaenda party au outing na wenzake. Utampata wapi?
Cc tunajua pa kuwapata, sa we unaishi buza, kingugi sijui kwa mtogole utapata wp pini zaidi ya wala miguu ya kuku kwa bi nyau
 
Yaaani wanaume mnashida..m mwanamke akisoma shida... Akiolewa anamloga mume wake... Akiachika malaya... Akichelewa kuolewa hafai amedanga sana...

Haya maisha aliewaambia yanaformula nani... Nyie yoote mlioyapanga mmeyafanikisha... Kwasababu unaweza ukapanga na yasitokeee.

Mtu kutaka kuwa na mwenza kuna shida gani?... Naona mleta uzi ni mpumpavu tu tena hana hela kuoa hajaoa... Ila basi tu kukandia wanawake.. stupid
 
LIFE STYLE! Ndiyo inayobadili sifa za mwanaume.
Kama mtu ni mlevi, mzembe physically, hali milo mizuri, anakesha na porn na kujichua, huyo hahitaji kufikisha 30 ili apunguze nguvu za kiume.

Lakini kama mwanaume anakula vizuri vyakula vyenye virutubisho vyote, hatumii vilevi wala uvutaji, si mapenzi wa porn na kujichua, anafanya mazoezi ya mwili na kupumzika vizuri nk, huyo hata akiwa na miaka 60 bado atakuwa na ile performance ya ujanani.
Hao wanaume ulio wa describe sio Hawa tunaowajua kula tu balanced diet shida hzo nguvu watoe wapi, Wana stress Hadi wamekua vichaa, mpenzi mmoja tu hawamuridhishi loh.
 
Wana stress Hawa wanahangaika ndio wanaokuja PM wamechoka hawana mbele Wala nyuma na ukiwapuuza wanaanzisha Uzi za kuponda humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawaida yao kuponda
 
Hivi we Mzimaa kweli ?! Sasa naonaje Wivu kwenye swala kama hilo...Yani mtu ana miaka 30 Hajaolewa Mimi nione wivu !?

Tunahangaika nao Sababu tuna date nao
Lazima tujue tunadate nao vipi
Sasa kama hajaolewa wewe kinakushughulisha nini... Si utafute wa 19 uoe... Kuna mtu kakukataza..

Acheni kushambulia ..wanawake... Hivi nyie wenyewe mmeoa.. au ndo mwanamke anajioa mwenyewe
 
Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
Wasio na nguvu watoto wa mama hasa wa dar maeneo ya kinondoni huku mkoa unapigishwa kwata hakuna namba utaacha kuhesabu hiyo midori unayotumia inakuharibu
 
Tunaoa ni sisi wanaume shida ni moja kwa wanaume kuoa watoto wa kishua. Kwanza wanakuwa wamekuzidi kipato, kazi nzuri. Na hata hivo mda wa wewe kuonana nao uko wapi mara nyingi wanakuwa wapo kazini ili umpate lazima na wewe uwe kwenye circle yake ya kazi au nyumbani.
Naongelea mtoto wa geti kali akirudi ndani, akitoka kazini. Weekend anaenda party au outing na wenzake. Utampata wapi?
Kwaiyo wewe unataka watoto wa kishua..si umeenda huko maofisini hujawaona?.. kwanza utawapa nini.. ndo nyie mnaotaka kulelelwa...WEAK MAN
 
Huo ni ubaguzi mbaya sana,
sasa wa date na nani?
Na date na mama wa 60+ wala hata sioni ajabu and shes so romantic na very care.
hivo vinuka mkojo 18+ naperemba tu kwa kwenda mbere ila mwisho niko kwa mmaza wangu nanyonya
 
Hao wanaume ulio wa describe sio Hawa tunaowajua kula tu balanced diet shida hzo nguvu watoe wapi, Wana stress Hadi wamekua vichaa, mpenzi mmoja tu hawamuridhishi loh.
Under normal circumstances, mwanaume yeyote anaweza kujimudu bila kujalisha aina ya kazi aliyonayo. Me wengi wanapobugi ni pale wanapoendekeza matumizi mabovu kama pombe na kuhonga, hapo lazima hata ya msosi iwapige chenga.
Lakini kwa mwanaume anayejijali hilo siyo tatizo.
 
Mkuu Dollar hermees tunaishi katika ulimwengu ambao umepandikizwa na mawazo ya kwamba jinsia Fulani hivi jinsia Fulani vile,

Lakini nadhani kuna mahali tunakosea au tunashindwa kuona ukweli wa mambo na kukalia mawazo yaliyoenea kwenye jamii zetu

Ukweli ni kwamba swala la ndoa na familia nzuri kwa jumla ni tamaa ya kile kiumbe kinachoishi kiwe cha kiume au cha kike,

Mkuu kwa mwanadamu yeyote aliyekamilika hana upungufu wowote na ana akili zake timamu,swala la kuwa na ndoa yenye furaha au familia iliyokamilika ni swala linalomhangaisha mtu yeyeote asiye na pungufu lolote,

Haswa umri unapokuwa umefikia mahala pake,si mwanaume au mwanamke anayehangaishwa na swala hilo,labda kinachotofautiana hapo ni namna ya kureact,labda wanwake wako open kuonesha kuwa wanatamani kikweli kuwa na familia,ila wanaume kama ilivyo kawaida yao ya dhana yao ya uanaume ya kutoonekana dhaifu ni kama wanapiga kimya ila ndani kwa ndani ni swala linalowaumiza sana ,narudia tena linawaumiza sana ila wanaumilia ndani kwa ndani,na ndio maana wanaume wanaumizwaga sana na mambo mengi coz hawafunguki au kuionesha jamii kuwa kuna mambo yanawamsumbua just kwa kuilinda ile dhana ya uanamue kutokuwa dhaifu ,tofauti na wanawake ambao ni rahisi kuonesha kuwa wako vurnelable kwenye mambo yanayowangaisha.
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Sasa kuwaponda wa nini...Kaoe huyo unaemtaka ...huyo mzee ataolewa na wanaume wengine...msitake kufanya kama wanawake wenye above 27 hawaolewei... Wanaolewa sana...WEWE HUYO BIKRA MARIA WA YESU UMEOA?

Huna hela wewe....Kazi yako nikujadili na kuponda wanawake...UNGEKUA upo vizuri kiuchumi si ungeoa..kinachokusubirisha nini.....Nyie hamuoi ..wanawake wasipo olewa mnaleta mandiko hapa ya kukejeli...OWENI SASA
 
Back
Top Bottom