Masterplan
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 210
- 353
Kwa kwel huu uzi unakimbia Sana ,acha niendelee kusoma Comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah ila wengi wao wanajua tu..yani akikaa na wewe mwezi tu anajua huyu hamna kitu mpita njia tuWao wanataka ndoa sana sana siyo kuchezewa sababu umri umeenda...so kama wewe unajijua mpitaji bora kumwambia ukweli ajue moja kuachana nawe au la....ndiyo anachomaanisha
Naona leo wavulana humu wamekuchachamalia kweliSawa baba mpiga ramli[emoji1787][emoji1787]
Endelea kupiga ramli zako.
Kama wewe ni mzinzi usidhani kila mtu ni mzinzi
Na ninawanyoosha wanakimbia wenyeweNaona leo wavulana humu wamekuchachamalia kweli
Wana stress Hawa wanahangaika ndio wanaokuja PM wamechoka hawana mbele Wala nyuma na ukiwapuuza wanaanzisha Uzi za kuponda humuNa ninawanyoosha wanakimbia wenyewe
Leo sitoki hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata angemiliki dunia lazima alazwe kibla na asulubishwe so bado kidume ni muhimu kuliko hizo range na zawadi nono anazojigawiaSio povu lazima tuwaambie ukweli mzibuke akili zenu kichwani, ujue wanaume wasio na mbele na nyuma ndio huhangaika na wanawake ili wajifariji mioyoni mwao badala ya kutafta maisha.
Kuna dada ni blog maarufu na nigeria ana hela zawadi kajipa range rover chakushangaza wanaume wasio na mbele Wala nyuma hata bicycle hawana wakawa Wana mshambulia na kumtusi. So kwa Africa wanaume wamepoteza uanaume wao asilimia zote
Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kituHata angemiliki dunia lazima alazwe kibla na asulubishwe so bado kidume ni muhimu kuliko hizo range na zawadi nono anazojigawia
Msishindane na ukweli
LIFE STYLE! Ndiyo inayobadili sifa za mwanaume.Usijifariji mkifika 35 nguvu za kiume zinaisha vijana tu wa 30 majogoo yao hayapandi mitungi sembuse huo umri mnatumia viagra
Cc tunajua pa kuwapata, sa we unaishi buza, kingugi sijui kwa mtogole utapata wp pini zaidi ya wala miguu ya kuku kwa bi nyauTunaoa ni sisi wanaume shida ni moja kwa wanaume kuoa watoto wa kishua. Kwanza wanakuwa wamekuzidi kipato, kazi nzuri. Na hata hivo mda wa wewe kuonana nao uko wapi mara nyingi wanakuwa wapo kazini ili umpate lazima na wewe uwe kwenye circle yake ya kazi au nyumbani.
Naongelea mtoto wa geti kali akirudi ndani, akitoka kazini. Weekend anaenda party au outing na wenzake. Utampata wapi?
Hao wanaume ulio wa describe sio Hawa tunaowajua kula tu balanced diet shida hzo nguvu watoe wapi, Wana stress Hadi wamekua vichaa, mpenzi mmoja tu hawamuridhishi loh.LIFE STYLE! Ndiyo inayobadili sifa za mwanaume.
Kama mtu ni mlevi, mzembe physically, hali milo mizuri, anakesha na porn na kujichua, huyo hahitaji kufikisha 30 ili apunguze nguvu za kiume.
Lakini kama mwanaume anakula vizuri vyakula vyenye virutubisho vyote, hatumii vilevi wala uvutaji, si mapenzi wa porn na kujichua, anafanya mazoezi ya mwili na kupumzika vizuri nk, huyo hata akiwa na miaka 60 bado atakuwa na ile performance ya ujanani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana stress Hawa wanahangaika ndio wanaokuja PM wamechoka hawana mbele Wala nyuma na ukiwapuuza wanaanzisha Uzi za kuponda humu
Sasa kama hajaolewa wewe kinakushughulisha nini... Si utafute wa 19 uoe... Kuna mtu kakukataza..Hivi we Mzimaa kweli ?! Sasa naonaje Wivu kwenye swala kama hilo...Yani mtu ana miaka 30 Hajaolewa Mimi nione wivu !?
Tunahangaika nao Sababu tuna date nao
Lazima tujue tunadate nao vipi
Wasio na nguvu watoto wa mama hasa wa dar maeneo ya kinondoni huku mkoa unapigishwa kwata hakuna namba utaacha kuhesabu hiyo midori unayotumia inakuharibuWewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
Kwaiyo wewe unataka watoto wa kishua..si umeenda huko maofisini hujawaona?.. kwanza utawapa nini.. ndo nyie mnaotaka kulelelwa...WEAK MANTunaoa ni sisi wanaume shida ni moja kwa wanaume kuoa watoto wa kishua. Kwanza wanakuwa wamekuzidi kipato, kazi nzuri. Na hata hivo mda wa wewe kuonana nao uko wapi mara nyingi wanakuwa wapo kazini ili umpate lazima na wewe uwe kwenye circle yake ya kazi au nyumbani.
Naongelea mtoto wa geti kali akirudi ndani, akitoka kazini. Weekend anaenda party au outing na wenzake. Utampata wapi?
Under normal circumstances, mwanaume yeyote anaweza kujimudu bila kujalisha aina ya kazi aliyonayo. Me wengi wanapobugi ni pale wanapoendekeza matumizi mabovu kama pombe na kuhonga, hapo lazima hata ya msosi iwapige chenga.Hao wanaume ulio wa describe sio Hawa tunaowajua kula tu balanced diet shida hzo nguvu watoe wapi, Wana stress Hadi wamekua vichaa, mpenzi mmoja tu hawamuridhishi loh.
Sasa kuwaponda wa nini...Kaoe huyo unaemtaka ...huyo mzee ataolewa na wanaume wengine...msitake kufanya kama wanawake wenye above 27 hawaolewei... Wanaolewa sana...WEWE HUYO BIKRA MARIA WA YESU UMEOA?Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?