Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Nakaribia kuumaliza ujana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaribia kuumaliza ujana
Sawa bhana.Nawaambia ukweli
Hiki kikao chetu pendwa cha wanaume kinakuja kuvurugwa na wadada wa above 27+ sasa hivi!Mark my words
Unahangaika sana
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Mbona Wewe huchangii mada!?Endeleeni.
Nimeamua kuwa msomaji tu kuliko kuanza kushambuliwa na virusi.Mbona Wewe huchangii mada!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeamua kuwa msomaji tu kuliko kuanza kushambuliwa na virusi.
Kikao kimevurugika aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Aaaah wapiiiiii.Unatakiwa usake pesa ukiwa na mume wako kwenye ndoa ndo utapendeza, mambo za Lusaka maisha ndo uje uolewe utajikuta unaolewa na yeyote yule ambaye ni mwanaume. Ni ushauri tu siyo sharia.
Ujumbe kwenye Avatar Yako Na Ulichoandika hapa VinakinzanaAaaah wapiiiiii.
Ili ajifanye ananicontrol ndoto zangu zife kabla ya kuanza?
Basi huonavyo wewe ni sawa, fanya mishe zako ila tambua mwanamke bora na aliyekamilika atahitaji kuwa kwenye ndoa. Na huo ndo ukweliAaaah wapiiiiii.
Ili ajifanye ananicontrol ndoto zangu zife kabla ya kuanza?
Sijakataa ndoa.Basi huonavyo wewe ni sawa, fanya mishe zako ila tambua mwanamke bora na aliyekamilika atahitaji kuwa kwenye ndoa. Na huo ndo ukweli
Mbona mm ni mwanamke na ndoa naiona gundu haswa pale unapopata mwanaume asiyejielewa inageuka kuwa majuto!...nimebahatika kushuhudia wasichana walioingia kwenye ndoa below 25 wakiteseka kila kukicha kisa tu aonekana yupo ndani ya ndoa(unhappily married),inafikia hatua mpk wanatamani kurudisha mda nyuma.Maswala ya ndoa na mapenzi hayatabiriki wala hayana kanuni maalum sio yakukimbilia kisa umri au mtazamo wa jamii.Katika maisha kikubwa ni furaha haijalishi uko nyakati gani.Ndoa kwa wanawake ni zaidi ya ujio wa yesu
Ila kwa wanaume tunaona ni gundu tu
Maskini pole sanaMbona mm ni mwanamke na ndoa naiona gundu haswa pale unapopata mwanaume asiyejielewa inageuka kuwa majuto!...nimebahatika kushuhudia wasichana walioingia kwenye ndoa below 25 wakiteseka kila kukicha kisa tu aonekana yupo ndani ya ndoa(unhappily married),inafikia hatua mpk wanatamani kurudisha mda nyuma.Maswala ya ndoa na mapenzi hayatabiriki wala hayana kanuni maalum sio yakukimbilia kisa umri au mtazamo wa jamii.Katika maisha kikubwa ni furaha haijalishi uko nyakati gani.
Najua katika haya nitaeleweka na open minded people tu.
Sihitaji pole mkuu,am goodMaskini pole sana
OK basi kama huhitaji pole aongeze kukuumiza ushindwe kuificha sura marafiki wakucheke[emoji23]Sihitaji pole mkuu,am good
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona unataka kuwa mchawi wangu....mm atakaye niumiza ataziona rangi zote duniani[emoji28]OK basi kama huhitaji pole aongeze kukuumiza ushindwe kuificha sura marafiki wakucheke[emoji23]
Mmh!kumbe Ila sema mimi nikimpata wangu mwandani nikamweka siwezagi kabisa kumuumiza labda yeye ndo aniumize [emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona unataka kuwa mchawi wangu....mm atakaye niumiza ataziona rangi zote duniani[emoji28]