Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Nashangaa anakwambia utoke[emoji1787][emoji1787]
Hi nchi vichaa hawataisha wallah

Hata Melo mwenyewe hajawahi kufukuza watu humu,
Mtu amekaa milimani uporoto huko anataka afukuze watu jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah vichaa wameongezeka Sana humu zamani mtu unajibiwa hoja vizuri sikuhizi ni personal matters sasa huyo ananifukuza humu JF ni yake kweli?
[emoji23][emoji23] Stress mbaya mwingine kapigwa ban kafungua mpya, badala watumie jf kujifunza wao sehemu ya mashindano
 
Sema Nyie kwa Mlipofikia Mkiwa Wapenzi itakua Bomba Sana [emoji16][emoji16]

Kakaa Samcezar chukua Mtoto huyoo
Me Naona kakuelewa ujue [emoji16][emoji16]




NB, #SijafataMatusi[emoji2][emoji23]
Kwamba yeye cariha amekosa watu kabisa Hadi akafhukuliwe na watu waliochanganyikiwa?
 
Tangu juzi hauchoki? Hauna kazi za kufanya? Hauna hata mchumba?

Ila acha nikupe sifa zako mkuu. Unajua kusutana hatari, unachambana wakina mwajuma ndala ndefu wakasome. Yaani wewe ni kiboko wa kusuta, hongera kwa kuwakilisha wavulana wenzako vizuri. Ayaa endelea kusutana bado kidogo utamshinda cariha .
Ukitaka dera na ngoma nishtue, ili umchambe vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]dah huyo naona ana matatizo makubwa ya kimaisha na Mimi staki toxic people in my life and negative energy, kwa kweli nimemupeleka kwenye dustibin ya ignore list I'm sure anatamani kupasuka wewe mtu saa kumi na moja kashaniamkia halali usingizi kisa Mimi huku JF.
 
Dah vichaa wameongezeka Sana humu zamani mtu unajibiwa hoja vizuri sikuhizi ni personal matters sasa huyo ananifukuza humu JF ni yake kweli?
[emoji23][emoji23] Stress mbaya mwingine kapigwa ban kafungua mpya, badala watumie jf kujifunza wao sehemu ya mashindano
Wote washamba tu wa mporoto hao
Kwanza hawana chochote kichwani zaidi ya matusi
 
Sema Nyie kwa Mlipofikia Mkiwa Wapenzi itakua Bomba Sana [emoji16][emoji16]

Kakaa Samcezar chukua Mtoto huyoo
Me Naona kakuelewa ujue [emoji16][emoji16]




NB, #SijafataMatusi[emoji2][emoji23]
Yani Mimi wakutafta strange people wa JF watu wanaohitaji tiba ya mirembe Mimi nibebe aisee nitake radhi Niko JF Kama jukwaa na siko kutafta love au yoyote yule
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah huyo naona ana matatizo makubwa ya kimaisha na Mimi staki toxic people in my life and negative energy, kwa kweli nimemupeleka kwenye dustibin ya ignore list I'm sure anatamani kupasuka wewe mtu saa kumi na moja kashaniamkia halali usingizi kisa Mimi huku JF.
Aliamka tangu saa7 usiku
Utadhani anawanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aliamka tangu saa7 usiku
Utadhani anawanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] atakuwa ana shida maskini na usingizi hapati vizuri, dah ignore list Kuna mfaa kwa kweli. Sikujua kuwa Kuna wagonjwa wengi aangalie asi commit suicide
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah huyo naona ana matatizo makubwa ya kimaisha na Mimi staki toxic people in my life and negative energy, kwa kweli nimemupeleka kwenye dustibin ya ignore list I'm sure anatamani kupasuka wewe mtu saa kumi na moja kashaniamkia halali usingizi kisa Mimi huku JF.
Sonona inamtesa. Anahitaji msaada.
Wewe mtu usiku badala alale anachambana. Badala akatafute hela anachambana. Hata kama ana stress za maisha huyu ndugu yupo kwenye hatua za mwisho za kudata.

Na anajiona shujaa kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Tena msafwa wa kule mporoto sio
Hukohuko,walivyo washamba sasa
Huoni ameingia jf anaiona yake hadi anajaribu kukufukuza[emoji1787]
Muda huo kanabishana hapa bora kangejifunza kuoga kwanza[emoji1787]
Maana ni wachafu kweli yaani
 
Samcezar na cariha mnachokifanya hapa kinaitwa reversed expression of love.

Mnatumia negativities kuelezea hisia zenu....mnatukanana lakini hakuna anayekubali ku give up sababu mnapenda kuwa in touch.

Mkitoka hapa mtaelekea PM na mwisho wa siku ni 6*6 bila tambara lolote.

Imewahi kutokea hivi hivi hapa JF na sasa ni mume na mke.
Nawatakia kila la kheri😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23] atakuwa ana shida maskini na usingizi hapati vizuri, dah ignore list Kuna mfaa kwa kweli. Sikujua kuwa Kuna wagonjwa wengi aangalie asi commit suicide
Dah yaani atazimiss moments hizi za kuchat na wewe
Alikuwa anatafuta tu namna gani atachat na wewe hapa,basi anajiona mwamba huko aliko[emoji1787]
 
Sonona inamtesa. Anahitaji msaada.
Wewe mtu usiku badala alale anachambana. Badala akatafute hela anachambana. Hata kama ana stress za maisha huyu ndugu yupo kwenye hatua za mwisho za kudata.

Na anajiona shujaa kweli.
Na kafika stage mbaya jinsi alivo na machungu mengi moyoni hata Mambo mengine anayofanya hayataenda kamwe. Mimi ninavojua mwanaume anayejielewa huwezi kuta ana sutana na wanawake, yeye hutafta hela, halafu huyu jamaa Sasa yeye anaamini akishambulia wanawake humu ndio anapona, kumbe anajiharibu.
Wanaume wenzake wameshindwa kumsaidia mwenzao mpaka ajiue Sasa
 
Samcezar na cariha mnachokifanya hapa kinaitwa reversed expression of love.

Mnatumia negativities kuelezea hisia zenu....mnatukanana lakini hakuna anayekubali ku give up sababu mnapenda kuwa in touch.

Mkitoka hapa mtaelekea PM na mwisho wa siku ni 6*6 bila tambara lolote.

Imewahi kutokea hivi hivi hapa JF na sasa ni mume na mke.
Nawatakia kila la kheri[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] hyo ni expression of love au ni mtu mgonjwa wa akili ana matatizo na anahitaji tiba maana hyo behavior sio ya mtu mzima, hebu mshaurini mwanaume mwenzenu asije jiua kwangu anajisumbua tu na huo ujinga wake.
Na hyo kukutana ngumu na nikikutana naye na mdunda na nikiwa na bastola namtanguliza kuzimu tu huyo mpuuzi
 
Na kafika stage mbaya jinsi alivo na machungu mengi moyoni hata Mambo mengine anayofanya hayataenda kamwe. Mimi ninavojua mwanaume anayejielewa huwezi kuta ana sutana na wanawake, yeye hutafta hela, halafu huyu jamaa Sasa yeye anaamini akishambulia wanawake humu ndio anapona, kumbe anajiharibu.
Wanaume wenzake wameshindwa kumsaidia mwenzao mpaka ajiue Sasa
Basi Kuna mtu kamdanganya huko juu kwamba anapiga spana
Anajiona mwamba kweli kumbe anaonekana mapepo yamempanda.
 
Dah yaani atazimiss moments hizi za kuchat na wewe
Alikuwa anatafuta tu namna gani atachat na wewe hapa,basi anajiona mwamba huko aliko[emoji1787]
Atafungua tu I'd nyingine kwa kweli, I'm sure huko ana hasira anaweza kuvunja hata vitu
 
Back
Top Bottom