Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

The Conscious

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2021
Posts
740
Reaction score
1,218
Habari wanandugu wa JF,

Sorry kama nitashindwa kuhusianisha heading na content
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwa kumekuwa na wanawake wengi ambao wametelekezewa watoto au mimba hii hutokana na sisi wanaume kuhitaji sex tu.

Ila matokeo ya hiyo sex tunayajua ila huwa hatuyataki unakuta mwanaume anasema mimba imeingia bahati mbaya tu mimi nilikuwa sikupendi sasa hii siyo tabia nzuri. Wanawake wamekuwa wakitelekezwa kwa wazazi wao na kuhangaika.

Basi wanaume tujitahidi kutongoza wanawake wazuri tunaowapenda hata ukimpachika mimba na ulikuwa hautarajii uwe unaona raha tu na kuihudumia mimba hata kama hauna uwezo wa kumchukua mwanamke huyo kwa muda huo.
 
Ila men can fake it bwana. Yaani anakuonyesha upendo wa dhati kupindukia kiasi mwanamke unajiona uko mikono salama lolote likitokea. Upepo unavyobadilika hutaamini na macho yako.

Anyways mega love to all the single mothers out there. Nawapenda sana. Munajipenda na mnajitunza. Na watoto wenu wasafii, wazurii wanasoma vizuri.

Mungu awatangulie sana na awape ujasiri katika majukumu yenu ya malezi. Hawa wanaowatelekeza huwa Mungu anajua kudeal nao vizuri tuu wapenz wangu.

Sipendi sana jinsi wanavyowasimanga. Naumia kama vile ni mimi. Funny enough watu wanao dada, mama, shangazi zao etc walitelekezwa miaka na miaka.
 
Bora uwaambie ukweli maana wanajua kupachika mimba lakini kulea hawajui kazi yao ni kuwaponda Single Mother's kila iitwapo leo.
Haswa tena kwenye single mothers hapo Unakuta wengi hatupendi kuwaoa ilhal sie ndiyo wasababishaji ni bora kumuacha msichana akampata mtu mwngine ambae huenda akamuoa na kuenjoy maisha na siyo kumpa mimb na kuleta visingzio
 
Back
Top Bottom