Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

Habar wanandugu wa JF,

Sorry kama nitashindwa kuhusianisha heading na content
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwa kumekuwa na wanawake wengi ambao wametelekezewa watoto au mimba hii hutokana na sisi wanaume kuhitaji sex tu.

Ila matokeo ya hiyo sex tunayajua ila huwa hatuyataki unakuta mwanaume anasema mimba imeingia bahati mbaya tu mimi nilikuwa sikupendi sasa hii siyo tabia nzuri. Wanawake wamekuwa wakitelekezwa kwa wazazi wao na i kuhangaika.

Basi wanaume tujitahidi kutongoza wanawake wazuri tunaowapenda hata ukimpachika mimba na ulikuwa hautarajii uwe unaona raha tu na kuihudumia mimba hata kama hauna uwezo wa kumchukua mwanamke huyo kwa muda huo.
Mna kamsemo kenu..wengi wanasema pale nilitaka kupita tu!
Kupita kwenda wapi jamani?
 
Mwanamke unayempenda huwezi kumpata mzee 😂😂😂! Hata ukimpata hakupendi kwa dhati atakutesa tu.

Ni sawa mie sahii kuna kadem nakapenda kanaitwa i_am_just_rakel huko mitandaoni! Ila kukapata nikape mimba ni mtihani. ila kametulia sana yani kana vitu vyote mjuba navyopenda.
 
Ila men can fake it bwana. Yaani anakuonyesha upendo wa dhati kupindukia kiasi mwanamke unajiona uko mikono salama lolote likitokea. Upepo unavyovadilika hutaamini na macho yako.

Anyways mega love to all the single mothers out there. Nawapenda sana. Munajipenda na mnajitunza. Na watoto wenu wasafii, wazurii wanasoma vizuri.

Mungu awatangulie sana na awape ujasiri katika majukumu yenu ya malezi. Hawa wanaowatelekeza huwa Mungu anajua kudeal nao vizuri tuu wapenz wangu.

Sipendi sana jinsi wanavyowasimanga. Naumia kama vile ni mimi. Funny enough watu wanao dada, mama, shangazi zao etc walitelekezwa miaka na miaka.
Tumeshaacha ku fake bana sikuhizi tupo so for real
 
Mwanamke unayempenda huwezi kumpata mzee 😂😂😂! Hata ukimpata hakupendi kwa dhati atakutesa tu.

Ni sawa mie sahii kuna kadem nakapenda kanaitwa i_am_just_rakel huko mitandaoni! Ila kukapata nikape mimba ni mtihani. ila kametulia sana yani kana vitu vyote mjuba navyopenda.
Sasa mbona unawagawia wana ramani?

Nimekaona ila hakana chura afu kana kitambi fulani hivi cha kiaina....ila face nzuri anafaa kwa matumizi ya binadamu.
 
Hawatakaweza kanaonekana kana sifa flani ambazo hawezi ku date na mbuzi mbuzi 😂😂😂
Ila mbuzi wanatofautiana, kuna mbuzi wa kufugwa na mbuzi wanaoranda randa kama wale wa kule tegeta nk
 
Wanawake wavumilie tu kilichompata baba wa diamond
 
Back
Top Bottom