Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

pia ni utambuzi binafsi kwa mtu mwenyewe, nna 28yrs now lakini kipindi chote nikikutana na mwanamke nakua makini sana kuepuka kumpa mimba sababu naona bado sijafikia wakati kulingana na mipango yangu, mpaka sasa sina ata wakusingiziwa. Anae mpa mimba na anaepewa mimba wote wazembe sababu kuna wanawake nilishakutana nao haulizii condon wala ni namna gani tunaweza jikinga na mimba kwaiyo 90% huwa najiongeza mwenyewe tu.
 
Tatizo unajikuta unatest mitambo una updates verse za kutongoza plus nyest unajikuta unapiga


Mimba hiyo halafu demu humuelewi wala nini ni tandam- kimtindo unasepa tu ki aina boblai unakimbia lkn unatunza ila utakuwa wa ajabu unakimbia unamtelekeza kabisa
 
Mwanamke unayempenda huwezi kumpata mzee [emoji23][emoji23][emoji23]! Hata ukimpata hakupendi kwa dhati atakutesa tu.

Ni sawa mie sahii kuna kadem nakapenda kanaitwa i_am_just_rakel huko mitandaoni! Ila kukapata nikape mimba ni mtihani. ila kametulia sana yani kana vitu vyote mjuba navyopenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no way
 
Habar wanandugu wa JF,

Sorry kama nitashindwa kuhusianisha heading na content
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwa kumekuwa na wanawake wengi ambao wametelekezewa watoto au mimba hii hutokana na sisi wanaume kuhitaji sex tu.

Ila matokeo ya hiyo sex tunayajua ila huwa hatuyataki unakuta mwanaume anasema mimba imeingia bahati mbaya tu mimi nilikuwa sikupendi sasa hii siyo tabia nzuri. Wanawake wamekuwa wakitelekezwa kwa wazazi wao na i kuhangaika.

Basi wanaume tujitahidi kutongoza wanawake wazuri tunaowapenda hata ukimpachika mimba na ulikuwa hautarajii uwe unaona raha tu na kuihudumia mimba hata kama hauna uwezo wa kumchukua mwanamke huyo kwa muda huo.
Mimi siwezi kuingiza mimba kwa mwanamke nisiyempenda aise. Kwanini nisimwagie nje
 
Mwanamke unayempenda huwezi kumpata mzee [emoji23][emoji23][emoji23]! Hata ukimpata hakupendi kwa dhati atakutesa tu.

Ni sawa mie sahii kuna kadem nakapenda kanaitwa i_am_just_rakel huko mitandaoni! Ila kukapata nikape mimba ni mtihani. ila kametulia sana yani kana vitu vyote mjuba navyopenda.

Unampenda Au unataka kuongeza single mama mwingine
Ni mzuri kweli but mtakuwa wengi hapo mnamfukuzia
 
Back
Top Bottom