Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

Mna kamsemo kenu..wengi wanasema pale nilitaka kupita tu!
Kupita kwenda wapi jamani?
 
Pisi nazo kalii ooohooo mwaisa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mwanamke unayempenda huwezi kumpata mzee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Hata ukimpata hakupendi kwa dhati atakutesa tu.

Ni sawa mie sahii kuna kadem nakapenda kanaitwa i_am_just_rakel huko mitandaoni! Ila kukapata nikape mimba ni mtihani. ila kametulia sana yani kana vitu vyote mjuba navyopenda.
 
Tumeshaacha ku fake bana sikuhizi tupo so for real
 
Sasa mbona unawagawia wana ramani?

Nimekaona ila hakana chura afu kana kitambi fulani hivi cha kiaina....ila face nzuri anafaa kwa matumizi ya binadamu.
 
Hawatakaweza kanaonekana kana sifa flani ambazo hawezi ku date na mbuzi mbuzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila mbuzi wanatofautiana, kuna mbuzi wa kufugwa na mbuzi wanaoranda randa kama wale wa kule tegeta nk
 
Wanawake wavumilie tu kilichompata baba wa diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…