Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

pia ni utambuzi binafsi kwa mtu mwenyewe, nna 28yrs now lakini kipindi chote nikikutana na mwanamke nakua makini sana kuepuka kumpa mimba sababu naona bado sijafikia wakati kulingana na mipango yangu, mpaka sasa sina ata wakusingiziwa. Anae mpa mimba na anaepewa mimba wote wazembe sababu kuna wanawake nilishakutana nao haulizii condon wala ni namna gani tunaweza jikinga na mimba kwaiyo 90% huwa najiongeza mwenyewe tu.
 
Tatizo unajikuta unatest mitambo una updates verse za kutongoza plus nyest unajikuta unapiga


Mimba hiyo halafu demu humuelewi wala nini ni tandam- kimtindo unasepa tu ki aina boblai unakimbia lkn unatunza ila utakuwa wa ajabu unakimbia unamtelekeza kabisa
 
Suala la kukimbia ujauzito na suala la kumpenda mtu ni tofauti kabisa......
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no way
 
Mimi siwezi kuingiza mimba kwa mwanamke nisiyempenda aise. Kwanini nisimwagie nje
 

Unampenda Au unataka kuongeza single mama mwingine
Ni mzuri kweli but mtakuwa wengi hapo mnamfukuzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…