Wanaume!!! Usahaulifu wenu unatuumiza....

Wanaume!!! Usahaulifu wenu unatuumiza....

Vipi siku yako ya kuzaliwa imepita kavu bila kupata ujumbe wa kheri kutoka kwa Mr....

Wakati mwingine mtuhurumie aisee sasa hali imekuwa ngumu kwelikweli muda wowote unawaaza ada za watoto... kodi ya nyumba bado kuna madogo na ndugu pia wanakutegemea so tunajikuta tunasahau hivyo vitu vidogo [emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
Kwenye suala la kusahau watusamehe tu. Siku yangu ya kuzaliwa Mimi mwenyewe huwa naisahau mara nyingi huwa zinapita siku 4 au 5 ndiyo naikumbuka.. aaah! Kumbe nimetimiza umri fulani.

Mambo ya kiwa mengi kama mhusika hajanikumbusha basi imekula kwake.
 
Dahhh.....
Sinto sahau nilipo enda kuchepuka, then umeme ukakatika, na kwakua nilitakiwa nirudi home basi nilipo maliza game, nikavaa poa Na kisha nikachukua kitambaa changu (leso) nikatia mfukoni nikasepa home.
Sasa Ile nafika home umeme umerudi, na nikamkuta wife, basi akanikaribisha poa kabisaaaa... Nami kwa mbwembwe nikaanza kuvua nguo ili nikaoge, mara paapp.... Kumbe nilikua nimegeuza boxer wife akamid lakini sio kivile, sababu nikomaa kwamba nikiondoka home nimwivaa hivyo hivyo..... Basi akanielewa
Basi nikaanza kutoa makolokocho mfukoni, khaaaaa.... Sijaibuka na bikini...... Yaani sitaki kukumbuka na naomba nisielezee kilicho tokea.... tehteehhh[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yule mwenye bikini yake aliondoka mtupu?
 
Mantiki ya huu uzi kua tutambue kuwa wewe ni she au?
 
Looh.
Dahhh.....
Sinto sahau nilipo enda kuchepuka, then umeme ukakatika, na kwakua nilitakiwa nirudi home basi nilipo maliza game, nikavaa poa Na kisha nikachukua kitambaa changu (leso) nikatia mfukoni nikasepa home.
Sasa Ile nafika home umeme umerudi, na nikamkuta wife, basi akanikaribisha poa kabisaaaa... Nami kwa mbwembwe nikaanza kuvua nguo ili nikaoge, mara paapp.... Kumbe nilikua nimegeuza boxer wife akamid lakini sio kivile, sababu nikomaa kwamba nikiondoka home nimwivaa hivyo hivyo..... Basi akanielewa
Basi nikaanza kutoa makolokocho mfukoni, khaaaaa.... Sijaibuka na bikini...... Yaani sitaki kukumbuka na naomba nisielezee kilicho tokea.... tehteehhh[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Pamoja na kuwa mmeumbwa kusahau, lakini wakati mwingine jitahidini kukumbuka.
Ni vitu vidogo sana ila vinatuumiza sana.

Hapa ni kwa ujumla, sio lazima uwe kwenye mahusiano, hata kaka, baba, mjomba nk.
nisamehe kipenzi sitasahau tena, mzima wewe!
 
Hakuna kitu kinakera kama bby asahau kitu kidogo kama birthday.
Hahaha. Juma lililopita mama aliniambia birthday yake ni siku fulani, kwa hiyo wanae tukutane kwake hiyo siku tumshukuru Mungu na kuomba dua kwa family kwa ujumla. Eebhanaa eeh! Si niliisahau uzuri Jana katukumbusha tena.

Ila shout out kwake bi mkubwa, anatuelewa wanae ni wa namna gani.
 
Hahaha. Juma lililopita mama aliniambia birthday yake ni siku fulani, kwa hiyo wanae tukutane kwake hiyo siku tumshukuru Mungu na kuomba dua kwa family kwa ujumla. Eebhanaa eeh! Si niliisahau uzuri Jana katukumbusha tena.

Ila shout out kwake bi mkubwa, anatuelewa wanae ni wa namna gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mnasahau sana sana hata vitu vya muhimu. Hela tu ndo hamsahau
 
Back
Top Bottom