Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa akishamjua Mungu na akaokoka utajuaje kuwa hafanyi au anafanya na mwingine huku anakupa ahadi hewa?
Feki nini? Unaelewa maana ya bikira lakiniNa kama ipo lakini feki?
Feki nini? Unaelewa maana ya bikira lakini
umepanic mkuuHata hao walioshikamana na dini ni wanafiq tu,akikwambia hivyo eti mpaka uniowe muulize bikra anayo?Kama kweli alikuwa ameshikamana na Mungu wake then hiyo bikra aliipeleka wapi!
Wa hivi wanakuwaga na vibwana vyao uchwara vinavyowagonga ila wewe ukiingia na gear ya kuowa wanajifanya kukubania ili usimuone malaya sana,dawa na wewe ingia kihuni huni wazo la kuowa lifanye la baadae.
Sasa kumpata huyo aliekuwa kwenye hizo 10% ndo balaa lipo hapoo
Kwa hiyo na ukala muwa na maganda yake!Alafu utakuta madada wa ivyo bikra imetolewa zamani..basi tu kutesana..ukiona una mdada wa ivyo na hana bikra hakuna mapenzi hapo
Kwa uelewa wako bikra maana yake nini?Naelewa maana ya Bikira na maana ya Bikira feki.
Kwa uelewa wako bikra maana yake nini?
Bikra ni mwanamke ambae hajawahi kuingiliwa kingono. Hicho ulichotaja wewe ni ushahidi tu wa kuonyesha kwamba mtu hajaingiliwa ambao unaweza kuwepo au usiwepo. Utasikia eti ukiendesha baiskeli bikra inatoka khaa kwamba mtu anapokuwa naendesha baiskeli anakuwa anatiana nayo? Kifupi bikra is not something tangibleSina uhakika kama nitaweza kuelezea kwa namna ya kukuridhisha...ila ni utando unakuwepo katika uke kuelekea katika njia nzima ya uzazi...
utando huu ni wa nyama laini iliyozuia njia hiyo.
Huo ndio uelewa wangu kwa kifupi.
Wabillah Tawfiq,
Bikra ni mwanamke ambae hajawahi kuingiliwa kingono. Hicho ulichotaja wewe ni ushahidi tu wa kuonyesha kwamba mtu hajaingiliwa ambao unaweza kuwepo au usiwepo. Utasikia eti ukiendesha baiskeli bikra inatoka khaa kwamba mtu anapokuwa naendesha baiskeli anakuwa anatiana nayo? Kifupi bikra is not something tangible
utajuaje kama ipo au haipo?Hufanyi mapenzi hadi ndoa means bikra ipo,,, haipo basi achana nae Fanya mambo mengine!
ana ngoma huyo mkuu...... kimbiaMademu hawapendi kondomu siku hizi nimemvusha mtoto guest baada ya kula kitimoto nikatoa kondomu akaitupia chini ya uvungu[emoji16][emoji16]
aiseeeNi kweli unachosema. Kuna mmoja nilimla mara ya kwanza. Mara ya pili akasema mchungaji kasema hadi ndoa, nikamwambia mpelekee hiyo K. Na mawasiliano nikakata..
Kumbe alikuwa an bwana anamsugua mm nikiwa mbali kikazi
Uliweka uzembe.Kweli ilipata kunitokea. Nilimtoa mtu, tukala tukashiba halafu nikamrudisha kwake. Hakunipenda tena. Alinibadilikia.
Nimewalaa mno wa hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]balaa sanaa..! wengne anakwambia mpka ndoa umuone mshika dini sanaa but huko pembeni kuna mwana Anamlaaaaa balaaa...yanii anamlaa kweli
Mademu hawapendi kondomu siku hizi nimemvusha mtoto guest baada ya kula kitimoto nikatoa kondomu akaitupia chini ya uvungu[emoji16][emoji16]