Wanaume: Vitisho haviimarishi mahusiano

Wanaume: Vitisho haviimarishi mahusiano

Yan wanawake mnapendaga vitu vya kijinga kinoma..sa kiss na hug ndio nini???kama unakula na kuvaa na unakazwa inatosha bhn Wanaume tuna mambo mengi
Eti vyakijinga yaan kaka pole endelea hvyo kujifanya unamambo mengi utalizwa
 
Kuna
Kwenye mada nzima, vitu ulivyovibainisha kama majukumu sijaona kama ni majukumu na hivyo vitu huishia kwenye uchumba mara nyingi. Kwenye ndoa kuna majukumu ya kuendeleza familia na kuleta maendeleo sio kukaakaa kama teenagers eti sijui kukiss, kuhugh navinginevyo. Chakushangaza kila jinsi inalalamika wanataka hivyo vitu huku jamii yetu ikiangamia kwakuwa tumeacha kusimamia familia tumebaki kwenye maisha ya uteenager wakati tunamajukumu ya msingi yaani familia. Hauli kiss wala hununui kitu kwa makiss na hugh, wanawake mkue. Kesho pesa ikiisha hiyo kiss utaiona kama anakusonya, tujikite kwenye utu uzima.
Kuna wanaume mnamambo ya kizamani ndio nn kuishi na mkeo km kaka na dada, aliekwambia kiss inapoteza muda nani? Hata ule muda wa tendo tu inatosha ni bora nyie wanaume unaweza kufanya tendo bla maandalizi yoyote lakn kwetu nitofauti ni sawa na mateso, Ili tufurahie tunahitaji maandalizi kwanza.
 
Kuna

Kuna wanaume mnamambo ya kizamani ndio nn kuishi na mkeo km kaka na dada, aliekwambia kiss inapoteza muda nani? Hata ule muda wa tendo tu inatosha ni bora nyie wanaume unaweza kufanya tendo bla maandalizi yoyote lakn kwetu nitofauti ni sawa na mateso, Ili tufurahie tunahitaji maandalizi kwanza.
Unautaka kweli usasa🤣🤣🤣, hivi unajua usasa ulivyo na maovu na matendo yakiovyo. Yaani nyie hamna msimamo, kesho mseme mbona hampo jasiri kama mababu zenu keshokutwa mseme muwe wa kisasa. Unajua vijana wa kisasa walivyo na vitabia vya ajabu mpaka wengine kuanza kuwa wanawake. Timiza majukumu yako, nayeye atimize yake mengine ni ulimbukeni.
 
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.

Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua.. Halafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo ni wachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.

Huyo huyo mwanaume hafanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi. Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.

Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.

Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho. Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
Judithkaunda limekukuta jambo..!!! Umetishiwa na ukatishika
 
Kumtishia Mwanamke kumuua ni ishara ya kutojiamini kwa huyo Mwanamume. Kama mwanaume kakamilika mkewe hawezi kua hata na mawazo ya kuchepuka na kama akiwanayo basi mke ni malaya aliejificha.
Hapo kwenye bold..!!! Ikitokea hivyo, mwanamke huyo anastahili kutishwa?
 
Hapo kwenye bold..!!! Ikitokea hivyo, mwanamke huyo anastahili kutishwa?
Kumtisha Mwanamke maana yake huna option zaidi ya yeye, una weak mindset/mentality (insecurity).

Kama Mwanamke ni malaya hakuna njia bora zaidi ya kumuacha aende zake, na pia wewe kama Mwanaume ni lazima uwe na options nyingi zaidi yake.
 
Back
Top Bottom