Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Na wao wazalishaji wanalipa kodi kiasi gani per mls kwa hizo chupa kubwa na ndogo? Mimi naongelea faida kwa mzalishaji!
 
Kuna siku tulipiga hii hesabu na FisadiKuu ikaonekana ni kweli bia ndogo ni nafuu ila ni kwazile sehemu wanazouza 1500/- kuna Bar nyingine ndogo wanauza 2000/-
 
Kwanza bia ndogo mi huwa natumia kumix na Don nyati ....hivi Hilo swala ndo tuseme serikali imepigwa tatu bila au? Maana viroba vimebadili jina tu na vibebeo
 
Kuna siku tulipiga hii hesabu na FisadiKuu ikaonekana ni kweli bia ndogo ni nafuu ila ni kwazile sehemu wanazouza 1500/- kuna Bar nyingine ndogo wanauza 2000/-
Upo sahihi ikizidi 1500 unakua umeumia, nikienda bar mpya lazima niulize kwanza bei ikiwa iko juu bora nile kubwa
 
Hapa bongo ndo kuna mabia makubwa alafu hovyo tu.Kula beer nɗogo kama kupata raha tu nawala siyo mpaka uwe njwanga
 
Hiyo haina cha Dar wala mkoani sasa hivi ukimkuta mtu anakunywa bia likubwa unashangaa mwendo wa kirikuu tu hapa
 
Hilo nakuunga mkono kuna vibamia vya bia dar huku mkoani havipo mfano castle lager
 



Huyu jamaa ndio anawawakilisha wanaume wa Dar unategemea anaweza kupiga bombadia kweli?,[emoji23] sidhan kama chupa kubwa ya castle lager kama anaweza kunyanyua...
 



Huyu jamaa ndio anawawakilisha wanaume wa Dar unategemea anaweza kupiga bombadia kweli?,[emoji23] sidhan kama chupa kubwa ya castle lager kama anaweza kunyanyua...
Tatizo hujajua ushamlowesha kachupi kake. Mademu wa mikoa wanapenda sana wanaume wa dizaini hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…