"unaanza kwa" na siyo " unaanza na".Unapoanza kuandika, neno la kwanza uwe unaanza na herufi kubwa.
Ahsante. Mbona sasa hujaanza "kwa" herufi kubwa?"unaanza kwa" na siyo " unaanza na".
mdogo mdogo tutafika tu.
napenda ligi. na ubingwa!!Ahsante. Mbona sasa hujaanza "kwa" herufi kubwa?
Wewe ni mkaidi au mbishi?
Hahaha haya bwana mkubwa. Ila bado umesahau kuanza kwa herufi kubwa.napenda ligi. na ubingwa!!
Lols!!!!
Arsenal? bado sijarogwa mkuu.Hahaha haya bwana mkubwa. Ila bado umesahau kuanza kwa herufi kubwa.
Wewe lazima utakuwa shabiki wa Arsenal
Hahahaa haya bhana nami niko Anfield pale kwa Jerumani mbishiArsenal? bado sijarogwa mkuu.
nipo pale Melwood, uniombee maana ni mshauri mkuu wa yule Jarumani kichaa!
tupeane pole mkuu maana jamaa ni kichaa mbishi!!Hahahaa haya bhana nami niko Anfield pale kwa Jerumani mbishi
Sipendi mapresha ndo maana sitii timu kule...tupeane pole mkuu maana jamaa ni kichaa mbishi!!
pitia kule kwenye jukwaa la LFC uone madongo makuu!
Haaa haaa[emoji23] [emoji23]Hii ni wazi wanaume wa Dar wanahela sana, manake itabidi wanywe hivo vi beer vingi ndio awe poa. Mimi mwenyewe natamani ningekuwa mwanaume wa Dar
Vp kibo na eagle?
Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .
Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.
Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.
Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .
Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
hili zigo ndiyo lenyewe!!
Tia neno hapo, mimi ni mwanaume wa dar