Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Hahaha haya bwana mkubwa. Ila bado umesahau kuanza kwa herufi kubwa.

Wewe lazima utakuwa shabiki wa Arsenal
Arsenal? bado sijarogwa mkuu.

nipo pale Melwood, uniombee maana ni mshauri mkuu wa yule Jarumani kichaa!
 
Arsenal? bado sijarogwa mkuu.

nipo pale Melwood, uniombee maana ni mshauri mkuu wa yule Jarumani kichaa!
Hahahaa haya bhana nami niko Anfield pale kwa Jerumani mbishi
 
Hii ni wazi wanaume wa Dar wanahela sana, manake itabidi wanywe hivo vi beer vingi ndio awe poa. Mimi mwenyewe natamani ningekuwa mwanaume wa Dar
 
tupeane pole mkuu maana jamaa ni kichaa mbishi!!

pitia kule kwenye jukwaa la LFC uone madongo makuu!
Sipendi mapresha ndo maana sitii timu kule...

Kuna mijamaa inaandika utafikiri imetumwa
 
uzuri ni kwamba hata izo bia ulizotaja hujawahi ninunulia so live your life
 
2fe8ea123fd41811bd0efec861c4f73d.jpg


Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .

Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.

Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.

Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .

Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
Vp kibo na eagle?
 
Hii ni wazi wanaume wa Dar wanahela sana, manake itabidi wanywe hivo vi beer vingi ndio awe poa. Mimi mwenyewe natamani ningekuwa mwanaume wa Dar
Hahahhahahah
 
Hivi bia yangu Sagari Lager aka Bunduki (ukiitumia vibaya itakuua) aka Mtikila (ukiitumia vibaya utaitukana mpaka serikali) bado ipo?

Enzi zetu watu wenye vichwa vyepesi walikuwa hawawezi kunywa Safari. Makaburu walivyonunua TBL wakaiongezea maji.
 
Back
Top Bottom