ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kikubwa ni Imani yako kwa Mungu .Kuna jamaa nilimtembelea ,amepanga nyumba,mbele ya nyumba uwanjani Kuna makaburi matano!anachukulia poa tu.nikamuuliza vipi huwa huogopi usiku???
We unazungumzia kuweka kilinge cha soga kitu ambacho hata wewe ukienda zika unafanya, Kuna makaburi ya kinondoni pale juu kabla ya kuzungushiwa ukuta, enzi hizo watu walikuwa wanakamata CD na kwenda mshikisha msalaba, wanaita kuendesha pikipiki.Aisee! Huku mikoani hatuwezi kuweka kilinge juu ya makaburi eti tupige stori unaonekana kichaa ila huko Dar mna moyo kwa kweli mnalala makaburi, mnakaa mnavuta sigara makaburi wengine mpaka mapenzi refer Kinondoni, Makaburini.
Labda pia niseme kwenye majiji hata Arusha pale stand ndogo kuna masela wanalala makaburini usingizi mzuri kabisa na ndio bangi zinavutwa hapohapo, kwa kweli me siwezi michezo hiyo.
So if He didn't then where did we get if from?Kikubwa ni Imani yako kwa Mungu .
The scripture says usiogope more than 50 times . Refer this
For God has not given us a spirit of fear, but of power and of love and of a sound mind.” ~ 2 Timothy 1:7
Sijaelewa nani unayemuongelea hapa ?So if He didn't then where did we get if from?
Sijaelewa nani unayemuongelea hapa ?
Yesu au
For God has not given us a spirit of fear, but of power and of love and of a sound mind.” ~ 2 Timothy 1:7
We n mwanaume kweli....?Aisee! Huku mikoani hatuwezi kuweka kilinge juu ya makaburi eti tupige stori unaonekana kichaa ila huko Dar mna moyo kwa kweli mnalala makaburi, mnakaa mnavuta sigara makaburi wengine mpaka mapenzi refer Kinondoni, Makaburini.
Labda pia niseme kwenye majiji hata Arusha pale stand ndogo kuna masela wanalala makaburini usingizi mzuri kabisa na ndio bangi zinavutwa hapohapo, kwa kweli me siwezi michezo hiyo.
Wanaume wa Dar ndio wanaume gani tena?Aisee! Huku mikoani hatuwezi kuweka kilinge juu ya makaburi eti tupige stori unaonekana kichaa ila huko Dar mna moyo kwa kweli mnalala makaburi, mnakaa mnavuta sigara makaburi wengine mpaka mapenzi refer Kinondoni, Makaburini.
Labda pia niseme kwenye majiji hata Arusha pale stand ndogo kuna masela wanalala makaburini usingizi mzuri kabisa na ndio bangi zinavutwa hapohapo, kwa kweli me siwezi michezo hiyo.
[emoji23][emoji23]We n mwanaume kweli....?
Wanaume wenye uume mdogo🏃♂️🏃♂️🏃♂️Wanaume wa Dar ndio wanaume gani tena?
🤣🤣🤣 hapa na gwajima yupo maana yupo DarWanaume wenye uume mdogo🏃♂️🏃♂️🏃♂️
🤣🤣🤣bla shaka, japo sinauhakika ni hlo swala maana uume wake sijawai uona🤣🤣🤣 hapa na gwajima yupo maana yupo Dar
🤣🤣🤣 Nilifikiri kwenye pilau aliyo toa ulionekana🤣🤣🤣bla shaka, japo sinauhakika ni hlo swala maana uume wake sijawai uona